Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
✊🏽✊🏽 shukrani mkuuKudadadadeki umetisha kimano Mano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✊🏽✊🏽 shukrani mkuuKudadadadeki umetisha kimano Mano
Mademu wenye bleach inasemekana wote ni malaya.B
Kuna msitari mwembamba unaotanganisha pisi yenye bleach na umalaya
Nakazia na mikazo mikali, mtu mzima akiamua kufanya jambo lake atafanya tu.Kama wa kuchapwa atachapwa tu hata kama hana simu.
Wa kuliwa ataliwa hata kama hana simu hata moja. Ungeniambia kuna kufuli linauzwa kwa ajili ya kufungia uke ningekusapoti.Hapa Sina maelezo mengi
Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu
Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo, kiswaswadu ndo kina uhalifu mwingi
Si shobo zako kwani alikuita 😹Nomuache na mali zangu anakula
Its not about looks, its about norms. Bleaching is a new norm and an indication of sluts or promiscous women in Tanzania.You judge someone by looks
Mdada akiwa na hela akanunua simu mbili nalo tatizo ....tukiwaomba hela tunaitwaa omba omba
Mtafute kwa nguvu sana kuna vijana wengi wanahitaji mishangazi. Supply bado ndogoTuendelee kutafuta hela
Moja ya kufanya miamalaSimu mbili za nini kama sio mfanyabiashara mkubwa. Mtu hana shughuli nyingi ila anamiliki simu mbili za nini?
Zingatia SIMU NDOGOKama wa kuchapwa atachapwa tu hata kama hana simu.
Moja ya kufanya miamala
Laini zinaweza kuwa nyingi pia