Kama ana simu mbili, zingatia Ile ndogo

Kama ana simu mbili, zingatia Ile ndogo

Hapa Sina maelezo mengi

Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu

Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo, kiswaswadu ndo kina uhalifu mwingi
Wa kuliwa ataliwa hata kama hana simu hata moja. Ungeniambia kuna kufuli linauzwa kwa ajili ya kufungia uke ningekusapoti.
 
Back
Top Bottom