900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
kiswaswadu ni hatari anatuma mesegi hatakama mko wote saa tisa usiku mkiwa macho bila wewe kugundua na buton hazina mwangaHapa Sina maelezo mengi
Usikariri vikuku, blichi, kipindi puani, tattoo, pia ogopa pisi ya simu mbili yaani tambo na kiswaswadu
Kama ana tambo na kiswaswadu basi we jua tambo halina magendo, kiswaswadu ndo kina uhalifu mwingi
π€£π€£π€£π€£Kuna mmoja nimemkurupusha juzi kati hajaamini
Kabisa π€£B
Kuna msitari mwembamba unaotenganisha pisi yenye bleach na umalaya
Kwangu hautapata utulivu πNataka kutuliza na wewe
Mwanamke ukishaanza kuweka hayo marangi Rangi kichwani + kuvaa vikuku means Hana haya , so kuna urafiki mkubwa Sana kati ya kutokuwa na haya na umalaya be carefulUbaya wa bleach hapo ni nini ....Mimi victim
Hii naifanyia laminations kabisa π π€£unapoteza muda wako bure kwa ufupi usimpe nafasi mwanamke mpumbavu kwenye maisha yako ukimhisi tuh mpe kwaheri songa mbele ni rahisi sana
Icho sinaUna kiswaswadu?
Ukiona hizo element kaa mbali Sana πsiku hizi sent sms kwenye kitochi haziwi saved, inbox kila muda zinafutwa.
Umemaliza. Unakaa unalinda mtu mzima? Hofu ya kugongewa mbaya mno.Kama wa kuchapwa atachapwa tu hata kama hana simu.
SinaahAu una bleach
πAu una bleach
Wooww π₯°Sinaah
Ile kitu hauwezi ilinda hasa ikiwindwa na waliokuzidi uwezo,hapo chakutegemea ni huyo mwanamke tu ajitambue binafsi.Umemaliza. Unakaa unalinda mtu mzima. Hofu ya kugongewa mbaya mno.
Niliwahi kuona hivyo Kwa demu mmoja hivi watu wanatisha aisee ππππKuna mmoja huyo, hicho kidogo anakitumia akiwa kazini tuu. Muda wa kazi ukiisha anakiacha hapo mezani kwake kikiwa on akija kesho anaaza kujibu mmoja baada ya mwingine.
Hili ndilo jibu la maswali yote.Badala ya kuzingatia hy simu ndogo, mm nashauri achana na demu mwenye simu mbili
ππππ Labda ni upindeBraza chogo na wewe una kidume lako?
uzi ufungwe hii comment imemaliza kila kitu......Ila poleni sana mnaodhani mna uwezo wa kumtuliza mtu pasipo kujua kuwa utulivu ni chaguo binafsi la mtu na sio shinikizo kwa mtu wa nje. Kama hakuoni wewe kama sababu ya kutulia, hata ukimchunga hatotulia kwa sababu huna umuhimu huo unaojipa katika maisha yake.
Kikubwa na cha msingi zaidi usikikague hicho kiswaswadu kama hauna ubavu wa kumuacha.