Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Si kweliKuna muonekano wa kiporn star ndio huo sasa !?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kweliKuna muonekano wa kiporn star ndio huo sasa !?
Unasema huyu ni wangu mimi peke yangu Ila naye ana exes na macrush 😁uzi ufungwe hii comment imemaliza kila kitu......
tunajipa sana umuhimu kwenye maisha ya watu tusio wajua
Mimi nilimuuliza huyo dada kwamba anatumia njia gani kuhakikisha madume yake hayamsanukii aisee, alinipa mbinu kama nne hivi na hiyo ya kuwa na simu ya pembeni nilibaki mdomo wazi.Niliwahi kuona hivyo Kwa demu mmoja hivi watu wanatisha aisee 😁😁😁🙌
Kupitia yule dada niliamini hawa binadamu tunatakiwa kuishi nao tu siku zisogee hamna lingine.Hiyo ndo mbinu ya kivita
Daa sisemi uongo (ke) akipaka breech inabidi atumie nguvu kubwa kuniaminisha kuwa sio mhuni,,,,,,,,huo NIMTAZAMO WANGU tuuuUbaya wa bleach hapo ni nini ....Mimi victim
😁😁😁 Hauwezi kumzuia mwanamke aache kuchepuka labda Atake yeye mwenyewe kutulia kuna mdada mmoja yeye Alikuwa Anaishi na Jamaa yake ni Askari , so alichokua anafanya ana laini 2 Hiyo laini moja huwa anaiweka mumewe akiwa hayupo akiingia kazini anaitoa mahali anapoificha then anaipachika ktk simuMimi nilimuuliza huyo dada kwamba anatumia njia gani kuhakikisha madume yake hayamsanukii aisee, alinipa mbinu kama nne hivi na hiyo ya kuwa na simu ya pembeni nilibaki mdomo wazi.
KabisaKama wa kuchapwa atachapwa tu hata kama hana simu.
Mimi si mhuni na napenda bleachDaa sisemi uongo (ke) akipaka breech inabidi atumie nguvu kubwa kuniaminisha kuwa sio mhuni,,,,,,,,huo NIMTAZAMO WANGU tuuu
😁Mlilelewa na nyie mleeKulea ni shida sana
Sawa umemkuta anachat na wanaume wengine kifuatacho?Linda chako
Yaani niende jela kisa mwanamke.ambao wapo wengi wa Kila namna mafungu kwa mafungu?bado sijawahi kuwaza sio kumuua tu hata kumpigaKupiga na kuuwa
Mwanaume ndio kiumbe pekee anaweza lea kiumbe cha jinsia tofauti bila majuto wala masikitiko...sisi tukilea tuna masimango😁Mlilelewa na nyie mlee