Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Jini Kisiranii

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2018
Posts
1,912
Reaction score
2,254
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
 

Attachments

  • IMG-20241020-WA0006.jpeg
    IMG-20241020-WA0006.jpeg
    302.4 KB · Views: 12
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Sijajua kwanini umetoa huo ushauri ila mmh passo ukipigwa upepo na ukiwa speed inaama barabara..kwanza upepo tu bati linabonyea..
Nyepesi sana kagari kale..
Passo ni gari ya kwenda safari fupifupi ndani ya mji kama sokoni , cinema na n.k
 
Sijajua kwanini umetoa huo ushauri ila mmh passo ukipigwa upepo na ukiwa speed inaama barabara..kwanza upepo tu bati linabonyea..
Nyepesi sana kagari kale..
Passo ni gari ya kwenda safari fupifupi ndani ya mji kama sokoni , cinema na n.k
Wewe sio dereva, mm nasafiri na hii gari mwanza dar sio mara moja huwa nasafiri kila baada ya miezi3 na huwa nasafiri kila wiki 700km haijawahinipa shida sijui unaposema ni ya safari fupifupi una basisi zipi
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Hako kagari kanadharaulika sana nchini
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula

Hivi ukigongwa na Passo si na wewe unakuwa ni sehwmu ya body ya gari?
 
Back
Top Bottom