Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Kama bado unajitafuta toyota passo ndo usafiri sahihi

Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Mzee umanisanua ngoja nikachukue hii hii.

Wanaotaka sifa mjini waendelee na Herrier zao
 
Bora nitembee kwa TZ 11 kuliko kuwa na passo au fan cargo....bora nisiwe na gari kuliko kutembelea kibiriti.

Hivyo vibiriti waachieni watoto wa shule,namshangaa Mussa Kipanya Super Star amefanya kazi miaka kibao lakini anatembelea KIBIRITI yaani ameshindwa hata kuvuta Crown? Kwakuwa yupo WCB nadhani ataji-upgrade hadi Salma Dakota alimpiga DONGO juzi na KIBERITI chake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Anaangalia wese
 
Bora nitembee kwa TZ 11 kuliko kuwa na passo au fan cargo....bora nisiwe na gari kuliko kutembelea kibiriti.

Hivyo vibiriti waachieni watoto wa shule,namshangaa Mussa Kipanya Super Star amefanya kazi miaka kibao lakini anatembelea KIBIRITI yaani ameshindwa hata kuvuta Crown? Kwakuwa yupo WCB nadhani ataji-upgrade hadi Salma Dakota alimpiga DONGO juzi na KIBERITI chake.
Kumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,
Sasa mkuu unazarau gari kabisa,
ukipata mgonjwa usiku wa manane na jirani yako ana paso hutamgongea mlango?
 
Anyway, I accept the challenge.

Natarajia in two years nitoke kwenye boda mpaka Vitz ya cc 990 au Passo.

Next challenge ni within 3 years kuifikia gari ya cc 1500 in VW

I hope I will make it
Nothing is impossible
 
Kumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,
Sasa mkuu unazarau gari kabisa,
ukipata mgonjwa usiku wa manane na jirani yako ana paso hutamgongea mlango?

Soma vizuri tena ,siwezi kununua passo bora nitembee kwa miguu au nirushe mkuki.

Siku hizi kuna uber,bolt,farasi,paisha ndani ya dakika 3 tu ushapata usafiri,hakuna haja ya kumgongea mlango jirani na passo yake...huo muda wa kwenda kumgongea mpaka aamke ukirequest bolt/farasi anakuwa ashafika.
 
Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.

Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Yani huwa nikiangalia tu hiyo dashboard yake hamu inaniisha...
 
Kumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,
Sasa mkuu unazarau gari kabisa,
ukipata mgonjwa usiku wa manane na jirani yako ana paso hutamgongea mlango?
Mhe.waziri majibu tafadhali Kwa mhe.mbunge wa Singida mashariki
 
Mkuu ukiona passo inauzwa milion 3 usinunue toka mbio. Tena kimbia Sana. Hata ukiangua ùkiumia unuka vumilia we kimbia tu. Passo ya cc 1290 kali kabisa ukibahatika labda milioni 6.5 lakini inaweza kufika hadi milioni 8. Hizo ni bei za mkononi sio za kuagiza nje. Kwa watu wa vipato vya kawaida ukinunua gari hii ukaitunza na kuipenda yaani utasahau nauli za daladala.
Mi mwenyewe najipanga yangu naiuza 6.5 bado almost mpya, nligonga mbwa km mara 4 hivi bsmba ya mbele ikapasuka but hata nikiuza 8 inaenda, zangu huwa nauza zikifika km laki moja nlinunua na elf 30 haijaguswa na fundi popote labda kubagili plug na oil tu,service ya mwodho nlifany ya 1mil tair zote, wishbon, cv joint
 
Mm sijitafuti nishajipata ila ndo chaguo la gari niipendayo
 
Back
Top Bottom