Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mzee umanisanua ngoja nikachukue hii hii.Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.
Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Anaangalia weseBora nitembee kwa TZ 11 kuliko kuwa na passo au fan cargo....bora nisiwe na gari kuliko kutembelea kibiriti.
Hivyo vibiriti waachieni watoto wa shule,namshangaa Mussa Kipanya Super Star amefanya kazi miaka kibao lakini anatembelea KIBIRITI yaani ameshindwa hata kuvuta Crown? Kwakuwa yupo WCB nadhani ataji-upgrade hadi Salma Dakota alimpiga DONGO juzi na KIBERITI chake.
Kumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,Bora nitembee kwa TZ 11 kuliko kuwa na passo au fan cargo....bora nisiwe na gari kuliko kutembelea kibiriti.
Hivyo vibiriti waachieni watoto wa shule,namshangaa Mussa Kipanya Super Star amefanya kazi miaka kibao lakini anatembelea KIBIRITI yaani ameshindwa hata kuvuta Crown? Kwakuwa yupo WCB nadhani ataji-upgrade hadi Salma Dakota alimpiga DONGO juzi na KIBERITI chake.
Nothing is impossibleAnyway, I accept the challenge.
Natarajia in two years nitoke kwenye boda mpaka Vitz ya cc 990 au Passo.
Next challenge ni within 3 years kuifikia gari ya cc 1500 in VW
I hope I will make it
Kumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,
Sasa mkuu unazarau gari kabisa,
ukipata mgonjwa usiku wa manane na jirani yako ana paso hutamgongea mlango?
Shida ya hizi body ni mwili wako
Yani huwa nikiangalia tu hiyo dashboard yake hamu inaniisha...Wakuu hii ni passo ya 2 kumiliki, ya kwanza nlimvua mtu nikaa nayo km miaka 4 nikauza nikanunua mpya sasa ninayo mwaka wa 5 unaelekea, mimi ni heavy user nasafiri nayo sana hadi km 1300 non stop, coz napenda kuwa na independent time kwamba nikipanga nasafiri mda flan na mda flan nitakuwa mahali flan so huwa naona bora nitumie tu gari binafsi.
Ulaji wake wa mafuta ni amazing, usipokamua sana inakula hadi km 23 kwa lita. Leo nlikuwa na kisafari ambacho sio kirefu ni km 220 nikaeka full tank lita35 hivi ndivo kimekula
Corolla zipo nyingi mkuu,kama Ipi Kwa mfanoHaujawahi kumiliki Corolla Kaka ,utarudi hapa kufuta uzi ikiwa utaonja Radha ya corolla
Mhe.waziri majibu tafadhali Kwa mhe.mbunge wa Singida masharikiKumiliki baiskeli kunazidi hadhi ya kutembea kwa miguu, hapo sijaongelea pikipiki,
Sasa mkuu unazarau gari kabisa,
ukipata mgonjwa usiku wa manane na jirani yako ana paso hutamgongea mlango?
We hatuongelei bajaj hapa tunaongelea passo mkuuMimi nina cc 200 nilichukua 3.5ml
Mpya? au used, 6 mil?Hyo 6ml kuna sehemu niliulizia ila zpo Ml 4 cc250....pia 3.5ml cc200
Zpo adi za ml 9 Dayun cc 600
990Hii unayoizungumzia ni ya 990 ama 1,290?
Mi mwenyewe najipanga yangu naiuza 6.5 bado almost mpya, nligonga mbwa km mara 4 hivi bsmba ya mbele ikapasuka but hata nikiuza 8 inaenda, zangu huwa nauza zikifika km laki moja nlinunua na elf 30 haijaguswa na fundi popote labda kubagili plug na oil tu,service ya mwodho nlifany ya 1mil tair zote, wishbon, cv jointMkuu ukiona passo inauzwa milion 3 usinunue toka mbio. Tena kimbia Sana. Hata ukiangua ùkiumia unuka vumilia we kimbia tu. Passo ya cc 1290 kali kabisa ukibahatika labda milioni 6.5 lakini inaweza kufika hadi milioni 8. Hizo ni bei za mkononi sio za kuagiza nje. Kwa watu wa vipato vya kawaida ukinunua gari hii ukaitunza na kuipenda yaani utasahau nauli za daladala.
Mpya...Mpya? au used, 6 mil?
Pikipiki zipo mpaka za mil 150.
Mil 7 unapata bajaji.
Mkuu samahani hivi kwa bajeti ya m.7 naweza kupata Forester Subaru au Harrier kwa mtu? Hapo jijini?
Kama zipi na zipi ambazo ulaji wake wa mafuta ni mdogo sanaSawa lakini zipo gari nyingi tu ambazo mtu anayejitafuta anaweza kuchukua sio passo
Kwa nini?Mpya...
Kibongo bongo ukimiliki pikpki bei ya ist unaonekana jau..