Kama Bandari ya Bagamoyo lazima ijengwe, basi sio kwa masharti ya kuweka nchi rehani

Si tunakwenda kuzungumza? Hakuna haja ya kuhofia mazungumzo.

Twende tukazungumze tukubaliane, tukiona hakuna maslahi tunaacha. Kwani shida iko wapi?
Utazungumza na mtu aliyetaka kukudhulumu mwanzoni ? Au ndio ile mchawi mpe mwanao amlee.mimi naona hiyo bandari ijengwe na pesa za ndani au tukope sehemu tofauti ila tusizungumze na mchina.
Hii itakuwa kama tukio moja lililetwa hapa JF la binti aliyebakwa na njemba fulani alafu ikakimbia, baada ya muda yule binti alienda kuitafuta tena ile njemba
 
T
umezungumza na Barick walituibia madini yenye thamani ya kuweza kumnunulia kila mtanzania Noah mojamoja sembuse wachina?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…