Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

Kama Barua yenu kwa Spika Ndugai imeitwa 'Kipeperushi' mkienda kukutana na Rais Samia angalieni tu asiwaite 'Wapuuzi' pia

Kwa hali ilivyo/inavyokwenda sioni km kweli CDM wanamaanisha juu ya madai yao, zaid naona wanatengeneza drama tuu japo sijajua ni kwa nini! haiwezekani upeleke majina ya wateule wako then uje useme tena huwatambui na umewavua uanachama kwa maneno makavu bila viambatanishi/vielelezo sababu umekwisha onesha una shida sehemu flani

Nadhani hili ni jambo la wakati tuu na litafikia mwisho hivi karibuni
CDM haijawahi kupereka majina tume ya uchaguzi ili hao covid 19 wateuliwe uhuni unaanzia hapo
 
Hata mimi sijawahi kuona duniani, ina maana hamuamini Katibu Mkuu wa Chadema? Haamini kama walikaa vikao? Ya nini kuomba viambatanisho vyoote hivyo wakati kinachotakiwa ni barua tu! Au na barua nyingine za kiofisi ni lazima kila kitu kiwe na viambatanisho kama ripoti?
Alichopewa ndiyo 'kakiita' Kipeperushi.
 
naunga mkono hoja yako...

CDM na upinzani Tanzania kuna shida kubwa ya kiuongozi ambayo inapaswa kufanyiwa kazi ili imani kwenye hivi vyama irudi... vyama vimejikita sana kulalamika hadharani kuliko kuja solution na kuweka hadharani the way forward yawanacholalamikia..

Hili suala la Covid 19 wanalalamika tu, hatua gani wanachukua kupata haki yao kama kweli ni uonevu unakuta hakuna...mwisho wa siku ukifikilia kwa kina unakuta wanawafanyia usanii tu wafuasi wao maana wanakua behind the scene...
Ninakubaliana nawe kwa huu Ufafanuzi.
 
Kwa hali ilivyo/inavyokwenda sioni km kweli CDM wanamaanisha juu ya madai yao, zaid naona wanatengeneza drama tuu japo sijajua ni kwa nini! haiwezekani upeleke majina ya wateule wako then uje useme tena huwatambui na umewavua uanachama kwa maneno makavu bila viambatanishi/vielelezo sababu umekwisha onesha una shida sehemu flani

Nadhani hili ni jambo la wakati tuu na litafikia mwisho hivi karibuni
Kuna 'Usamjo' mkubwa upo CHADEMA.
 
Huyu JOB hili pira kaachiwa mwenyewe maana nahodha wa mchezo sir god kamchukua. Polepole hana lake, Kakurwa ndio hajulikani yupo wapi. Huu mchezo wa hawa wabunge 19 ni aibu ya bunge. Wabunge wenyewe wamekiri kufukuzwa na wamekata rufaa sasa JOB anataka nini. Huyu mzee ni uchuro kabisa.
Huenda Ndugai anajua zaidi yetu Mkuu.
 
Taratibu naanza sasa Kumuelewa Spika.
But ni kawaida kwa utaratibu wa ofisi unapoletewa barua kuijibu, amekaa kimya kwa kiburi kipindi cha mwendazake ameona upepo umebadilika anatoa maelezo ya mdomo mfulululizo. Kwanini hayo anayowaambia ndio yasiwe kwenye majibu ya barua ya kuwajibu. Kwanini naibu spika aseme hakuna barua iliyopokelewa ya kuwakataa wabunge wale.

Hivi CCM inanufaika na nini kwa wabunge wale? Wakifukuzwa si ndio itakuwa vizuri kuonesha kukubalika kwake kwa wananchi?
 
Ni kweli Spika Ndugai ana 'Mapungufu' yake, ila na Mimi GENTAMYCINE sasa taratibu naanza kuona pia kuna Matatizo ya 'Kimsingi' kwa upande wa Wapinzani ( hasa CHADEMA ) juu ya madai yao ama kwa Serikali au kwa Chama Tawala ( CCM )

Ushauri wangu tu Kwenu Marafiki zangu wa 'Kidemokrasia' nchini Tanzania CHADEMA kama Spika Ndugai kasema 'andiko' mlilompelekea ni 'Kipeperushi' basi nawaombeni mno anzeni Kujipanga hasa 'Kihoja' mnapojiandaa kwenda kukutana na Rais Samia katika Siku mtakayopangiwa ili baada ya kuonana nae asije kuwaita 'Wapuuzi' kwa yale mtakayoyawasilisha Kwake ambayo mmeyapania kweli kweli.

Kwa aina ya Uzungumzaji ule wa Spika Ndugai na ukiiangalia na 'body language' yake ( tena huku akijiamini kabisa ) tusifichane hapa ni lazima tu kutakuwa na Shida Kubwa ya 'Kiutendaji' kwa CHADEMA ila 'inafichwa' ama 'inafunikwa' tu kwa Mgongo wa Mapungufu ya Serikali na Chama Tawala chake cha CCM.

Ni wakati sasa wa Watu Makini ( Waelewa ) kuacha sana Kumshutumu Spika Ndugai 'Kimazoea' au kwa 'Kumkariri' na sasa tugeuke 'Kuwakosoa' hawa CHADEMA ili mwisho wa Siku tutende Haki kwa wote na tusijiingize katika 'Dhambi' ya kuja Kuitwa Wanafiki, Waongo na Wazushi tu wa Masuala.

CHADEMA anzeni 'Kujitathmini' haraka.
Mkuu Ndugai hana mpango kula matapishi yake, pia anadhani atamaliza kipindi chake na hana cha kupoteza.Hatukuona umakini huo nyaraka uhakiki akiwaapisha.Pamoja na yote endapo CDM watakidhi vigezo bado atatumia mabavu..." sheria haijanipa muda kujibu,kutekeleza...busara ya spika.."
 
Ni kweli Spika Ndugai ana 'Mapungufu' yake, ila na Mimi GENTAMYCINE sasa taratibu naanza kuona pia kuna Matatizo ya 'Kimsingi' kwa upande wa Wapinzani ( hasa CHADEMA ) juu ya madai yao ama kwa Serikali au kwa Chama Tawala ( CCM )

Ushauri wangu tu Kwenu Marafiki zangu wa 'Kidemokrasia' nchini Tanzania CHADEMA kama Spika Ndugai kasema 'andiko' mlilompelekea ni 'Kipeperushi' basi nawaombeni mno anzeni Kujipanga hasa 'Kihoja' mnapojiandaa kwenda kukutana na Rais Samia katika Siku mtakayopangiwa ili baada ya kuonana nae asije kuwaita 'Wapuuzi' kwa yale mtakayoyawasilisha Kwake ambayo mmeyapania kweli kweli.

Kwa aina ya Uzungumzaji ule wa Spika Ndugai na ukiiangalia na 'body language' yake ( tena huku akijiamini kabisa ) tusifichane hapa ni lazima tu kutakuwa na Shida Kubwa ya 'Kiutendaji' kwa CHADEMA ila 'inafichwa' ama 'inafunikwa' tu kwa Mgongo wa Mapungufu ya Serikali na Chama Tawala chake cha CCM.

Ni wakati sasa wa Watu Makini ( Waelewa ) kuacha sana Kumshutumu Spika Ndugai 'Kimazoea' au kwa 'Kumkariri' na sasa tugeuke 'Kuwakosoa' hawa CHADEMA ili mwisho wa Siku tutende Haki kwa wote na tusijiingize katika 'Dhambi' ya kuja Kuitwa Wanafiki, Waongo na Wazushi tu wa Masuala.

CHADEMA anzeni 'Kujitathmini' haraka.
CDM wabadili aina ya siasa kwa kutoendekeza siasa za uanaharakati,kutukana na kuropoka na kupinga kila kitu cha serikali imewagharimu sana. Wawe na rational politics. Siasa za kiMbowe na Lissu zitawaponza sana.
 
Hilo bunge linasimamia nn Mana hata halieleweki kutokana na mwendeshaji kuwa bogus yaan mpayuka Mana bajeti zote zikipangwa ikulu ...

Ni kiongozi atakaye acha aibu baada ya muda wake
Unachangia ki CHADEMA na si KIAKILI.
 
Taratibu naanza sasa Kumuelewa Spika.
Yaonekana una hamu tu ya kujipa furaha hewa.
Ndugai sasa hivi anababaika kwani alitegemea sana uwepo wa Jiwe kulinda takataka zake kama alivyozoea na kujidekeza.
Covid 19 hawakupendekezwa na CHADEMA. Utaratibu mzima na sheria zake viko wazi na havikufuatwa kabisa.
Huko ndiko swala lenyewe linakoanzia.
Mengine hayo ni muendelezo tabia zake mbaya, ambazo ziliendana kabisa na tabia za mungu wa Burigi aliekuwa anapata furaha na usingizi mwema kwa kukomoa na kukandamiza watu kwa kusigina katiba.
Hili bunge sio mali yake kiasi cha kujivuna hadharani kuwa hapangiwi wala hatakiwi kuongozwa. Hayuko juu ya sheria za nchi.
Kama Mama atarithi na kukubali kuendeleza uvunjaji huo wa katiba atakuwa ameanza kujichafua kitu ambacho sikitegemei sana.
Ninapenda kuamini kuwa atatafuta namna ya kulitatua kabla halijamfikisha pabaya. AMEN
 
Taratibu naanza sasa Kumuelewa Spika.
Yaonekana una hamu tu ya kujipa furaha hewa.
Ndugai sasa hivi anababaika kwani alitegemea sana uwepo wa Jiwe kulinda takataka zake kama alivyozoea na kujidekeza.
Covid 19 hawakupendekezwa na CHADEMA. Utaratibu mzima na sheria zake viko wazi na havikufuatwa kabisa.
Huko ndiko swala lenyewe linakoanzia.
Mengine hayo ni muendelezo tabia zake mbaya, ambazo ziliendana kabisa na tabia za mungu wa Burigi aliekuwa anapata furaha na usingizi mwema kwa kukomoa na kukandamiza watu kwa kusigina katiba.
Hili bunge sio mali yake kiasi cha kujivuna hadharani kuwa hapangiwi wala hatakiwi kuongozwa. Hayuko juu ya sheria za nchi.
Kama Mama atarithi na kukubali kuendeleza uvunjaji huo wa katiba atakuwa ameanza kujichafua kitu ambacho sikitegemei sana.
Ninapenda kuamini kuwa atatafuta namna ya kulitatua kabla halijamfikisha pabaya. AMEN
 
Back
Top Bottom