The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Ukikaa na kusikiliza watu unaweza kufikiri Tanzania ilisimama kwa miaka 5 na hakuna kilichofanyika lakini uchumi unaongea tofauti.
Bank ya crdb imetoa taarifa ya faida kwa miaka 5 iliyopita, faida imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 300.
2018 Bilioni 64
2019 Bilioni 120
2020 Bilioni 165
2021 Bilioni 268
Hizi za NMB.
2021 Bilioni 291
2020 Bilioni 210
2019 Bilioni 144
2018 Bilioni 100.
Kipindi kile cha Magufuli watu wakawa wanasema anapika dataz benki zinalazimishwa kupika data ila sasa hivi sisikii hizo hadithi.
Unajiuliza kama biashara zilikua zimekufa na kufungwa, banki hizo faida zimetoa wapi?
Faida ya benki inatokana na biashara za mikopo. Sasa kama biashara zimekufa, banki zilikua zinakopesha majini na kutengeneza faida?
Bank ya crdb imetoa taarifa ya faida kwa miaka 5 iliyopita, faida imeongezeka kwa zaidi ya asilimia 300.
2018 Bilioni 64
2019 Bilioni 120
2020 Bilioni 165
2021 Bilioni 268
Hizi za NMB.
2021 Bilioni 291
2020 Bilioni 210
2019 Bilioni 144
2018 Bilioni 100.
Kipindi kile cha Magufuli watu wakawa wanasema anapika dataz benki zinalazimishwa kupika data ila sasa hivi sisikii hizo hadithi.
Unajiuliza kama biashara zilikua zimekufa na kufungwa, banki hizo faida zimetoa wapi?
Faida ya benki inatokana na biashara za mikopo. Sasa kama biashara zimekufa, banki zilikua zinakopesha majini na kutengeneza faida?