Wayaring
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 304
- 248
Hapana umechanganya dawa, mambo yapo hivi: Ukimpenda chizi na akafariki unapaswa na wewe kufa ili uzikwe naye.Zito alipaswa kuzikwa na mama yake kwanza ili tuhakikishe kweli kwamba ukifiwa na mpendwa wako unapaswa uzikwe nae, ama zito alikua hampendi mama yake?