Kama biashara zilikufa na kufungwa miaka 5 iliyopita, hizi faida za mabenki zilitoka wapi?

Mmh! Thubutu. Mwenyekiti Mbowe ndiye wa kwanza kuulaani utawala wa jiwe. Ndiye aliyehutubia taifa kwa kusema "Never and Never Again".
. Upo hapo ewe sukuma gang?
Nani alitumia zaidi ya miaka nane kutuaminisha ufisadi wa Lowassa? Nini kilitokea 2015? Bado unamuamini tu!!?
 
Ungejua makato yameongezeka sana hata usingeongea

Kutoka pesa imetoka 800-1100+ ATM
 
Mqguli alikuwa zaidi ya sheitwani hata umtetetea ukiwa kuchi bado anabaki kuwa sheitwani. Wapi Ben saanane, wapi azoru gwanda na viloba vya miili cocobeach
 
Hata Gawio la Hisa mwaka huu limeongezeka tofauti na miaka miwili nyuma. Kwa sisi wanahisa wa CRDB tumelamba mgao wa Tsh. 36 kwa kila hisa moja.

Hivyo tulionunua hisa nyingi tumelamba posho nzuri.
 
Mqguli alikuwa zaidi ya sheitwani hata umtetetea ukiwa kuchi bado anabaki kuwa sheitwani. Wapi Ben saanane, wapi azoru gwanda na viloba vya miili cocobeach
Vp we ulikufa akina ulimboka na Absalom kibanda walitifuliwa na magufuli eti we kiroboto jike
 
Watu wanawivuuu tu na unafiki
 
Ona 21 zilivyokua kwa kasi.
Nmb mwendazake aliifanya iwe benk kuu no 2
 
Vp we ulikufa akina ulimboka na Absalom kibanda walitifuliwa na magufuli eti we kiroboto jike
Mi mwenyewe kidogo nifikiwe Mana lengo ilikuwa kumuua kila mtu anayekosoa. Hata jk alikoswakoswa tu kwa sabau Ni mtu wa watu walimtonya
 
Majangila Kama Akina Zito. Mpuuzi Yule Mdini Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Naomba uangalie gap ya mwaka 2021 na miaka ya hapo nyuma ndio uje kuharisha hapa.👇

 
Mwaka 2018 faida CRDB Mwaka mzima ni 64Bil
Mwaka 2022 faida CRDB Robo Mwaka ni 90Bil

Huoni tofauti mkuu?

 
Wewe akili huna na huelewi tofauti ya dividend na profit after tax.

Rudi shule ujielimishe zaidi ndio uje tujadiliane hapa.
Wewe ndio akili huna na kilaza mkubwa,angalia hiyo profit difference ya mwaka 2021 na Miaka ya Jiwe afu uje kuharisha tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…