Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

Kama binadamu wa kwanza alikuwa mweupe, watu weusi wametoka wapi?

ukweli wa hli swala ni kwamba binadam wote tulikua weusi, sasa ikatokea siku moja Mungu akasema nenden mtoni mkaoge, mzungu wa watu alijitumbukiza mwili wote lakn huyu mwingne kwa uvivu wake akagusisha viganja na unyayo tu afu huyo nduuki, ndo mpka leo kawa hvo
 
Tuliumbwa kama samaki katika tenga tukamwagwa duniani
 
Kwanza ungejiuliza kwa nn manii ya babako yaligeuka kuwa kiumbe kama wewe?ingetosha kumjua muumba wako ni nani katika suali lako...overrr
 
Kwanza ungejiuliza kwa nn manii ya babako yaligeuka kuwa kiumbe kama wewe?ingetosha kumjua muumba wako ni nani katika suali lako...overrr

Kwanini asituumbe direct mpaka apitie manii Yani hilo tu linatosha kumjua? mbona kuna mambo complex sana ambayo nahisi hata yeye anayashangaa kama yupo
 
Ametuumba hivyo ili tupate kujua uwezo wake kwa kila mwenye akili
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

Mtu wa kwanza hakuwa mweupe wala hakuna kumbukumbu yoyote kuhusu jina lake. Lakini jambo moja la uhakika ni kuwa mtu mweusi wa kwanza alikuwa mweusi, mtu mweupe wa kwanza alikuwa mweupe nk. Wote walipata kuwepo kila mmoja kwa wakati na nafasi yake kama unavyoona mbuzi, sungura nk. Si kwamba hapo kale sungura alikuwa mbuzi, sungura aliumbwa hivyo na mbuzi aliumbwa hivyo.

Mzungu, mwarabu, mchina nk wote waliumbwa walivyo, hakuna kati yao aliyekuwa chimbuko la mwingine.
 
Kwanini asituumbe direct mpaka apitie manii Yani hilo tu linatosha kumjua? mbona kuna mambo complex sana ambayo nahisi hata yeye anayashangaa kama yupo

Tatizo hawataki kuelewa kuwa hizo stori za uumbaji ni feki.
 
Mtu wa kwanza hakuwa mweupe wala hakuna kumbukumbu yoyote kuhusu jina lake. Lakini jambo moja la uhakika ni kuwa mtu mweusi wa kwanza alikuwa mweusi, mtu mweupe wa kwanza alikuwa mweupe nk. Wote walipata kuwepo kila mmoja kwa wakati na nafasi yake kama unavyoona mbuzi, sungura nk. Si kwamba hapo kale sungura alikuwa mbuzi, sungura aliumbwa hivyo na mbuzi aliumbwa hivyo.
Mzungu, mwarabu, mchina nk wote waliumbwa walivyo, hakuna kati yao aliyekuwa chimbuko la mwingine.

Ongea ukiwa na prove cio unaongea tu unavyo fikiria ww
Vitabu vya mmung ndio chibuko la science ,ukweli utabaki pale pale mmung alimuumba mwana adamu kwa udongo uliokuwa mweusi, ambao uliokusanywa toka pande zote za dunia na mmung ndio mjuzi WA kila jambx
 
Ongea ukiwa na prove cio unaongea tu unavyo fikiria ww
Vitabu vya mmung ndio chibuko la science ,ukweli utabaki pale pale mmung alimuumba mwana adamu kwa udongo uliokuwa mweusi, ambao uliokusanywa toka pande zote za dunia na mmung ndio mjuzi WA kila jambx

Ok, leta proof kuwa mungu aliandika hivyo vitabu unavyosema
 
Mwanadamu wa kwanza hakuwa mweupe. Alikuwa mweusi na aliishi maeneo ya Olduvai. Binadamu walitawanyika toka hapo na kwenda sehemu mbalimbali za dunia ikiwamo Marekani ya Kaskazini, Ulaya na Asia. Mabadiliko ya rangi na features nyingine za binadamu zilitokana na tofauti ya hali ya hewa na ni uhamiaji (migration) huu ulianza miaka ipatayo 60,000 iliyopita. Kwa taarifa zaidi soma hapa: https://genographic.nationalgeographic.com/human-journey/
 
Ni kweli kabisa Adam na Eva hawakuwa " WEUSI" kwa sababu kundi la weusi limeanzishwa mwaka jana tu, na Adam na Hawa waliishi miaka elfu saba iliyo pita.



hahahahaha wewe ni zero kabisa yani.. but u made my day
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

MI najuwa kuwa katika biblia, mtu mweusi alitokea katika kizazi cha NUHU. Mtoto wa NUHU anaitwa HAMU ndo alijipatia mtoto mweusi ndo tulikotokea. So ukisoma MWANZO 10:6-9, ila katika biblia wanatumia neno la KUSHI badala ya mtu mweusi.
 
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?

Jamani hebu achaneni na hizi fairytale za wayahudi,hivi mpaka leo kuna watu wanaamini hadithi za Adamu na Eva?kweli?kila siku mifupa ya inafukuliwa na ikipimwa inaonekana hao watu waliishi miaka hadi milioni 4, bado tu mnaamini katika hadithi za wayahudi?watu weusi hebu amkeni muanze kutumia vichwa vyenu katika kufikiri.

Afrika ilikuwa na watu wanaishi million of years kabla hata hajaumbwa huyo Adamu, Abraham, Yesu na as a matter of fact kabla hata hajaumbwa huyo Mungu wenu mnayemuabudu (Mungu wa wayahudi)..AMKENI NA MUANZE KUTUMIA UBONGO KUFIKIRI SIO ALFU LELA ULELA ZA KWENYE BIBLE NA VITABU VINGINE VYA DINI ZA WATU!
 
Jamani hebu achaneni na hizi fairytale za wayahudi,hivi mpaka leo kuna watu wanaamini hadithi za Adamu na Eva?kweli?kila siku mifupa ya inafukuliwa na ikipimwa inaonekana hao watu waliishi miaka hadi milioni 4, bado tu mnaamini katika hadithi za wayahudi?watu weusi hebu amkeni muanze kutumia vichwa vyenu katika kufikiri,Afrika ilikuwa na watu wanaishi million of years kabla hata hajaumbwa huyo Adamu, Abraham, Yesu na as a matter of fact kabla hata hajaumbwa huyo Mungu wenu mnayemuabudu (Mungu wa wayahudi)..AMKENI NA MUANZE KUTUMIA UBONGO KUFIKIRI SIO ALFU LELA ULELA ZA KWENYE BIBLE NA VITABU VINGINE VYA DINI ZA WATU!

Kiongozi uko very right kabisa Tunahitaji kutoa fikira za middle East na kupambanua mambo bila kuweka hii nadharia ya mungu ambayo infact inatulimaza tu mana mtu anakosa uhuru wa kufanya mambo kisa God...NASA wao wanaweka imani kando na kufanya uchunguzi wa Uwepo wa maisha ktk sayari zingine pia uwepo wa viumbe wengine UFO ukiwa mfia dini unajitia ktk box tu
 
A black man and a woman can produce an albino(white) but a white man and woman cannot produce a black or rather negroid features. Mtu mweusi ndiye baba ya watu wote duniani lakini vitabu za wazungu zimeficha asili yetu sisi watu weusi haswa kwa kutumia dini.

If King Nimrod of Kush son of Ham was black and reigned in Sumeri(present day Iraq), while his servant was Terah, father of Abraham, what really happened in history that we do not know and is being hidden till now? Isis is destroying the ancient ruin city of Nimrod erasing more of what we need to know. Did you know Chinese first King was black? Christopher Columbus found blacks in America and there is ample evidence of the same in form of drawings,artifacts such as sculptures and traditional folklore of the indigenous Indians.

Egypt was called Kemet by original inhabitants, Ethiopia by greeks and Egypt is a recent name......................for more info ask the right questions not giving the right answers.
 
I see! kumbe fuvu la Adam limepatikana olduvai George? very interesting sasa naamini kweli Tanzania inaongoza kwa watu wenye Iq ndogo.

bila shaka fuvu la Eva litapatikana msoga.
Mkuu ungekuwa karibu ningekupa hata mkono wa shukrani, nimecheka sana
 
A black man and a woman can produce an albino(white) but a white man and woman cannot produce a black or rather negroid features. Mtu mweusi ndiye baba ya watu wote duniani lakini vitabu za wazungu zimeficha asili yetu sisi watu weusi haswa kwa kutumia dini. If King Nimrod of Kush son of Ham was black and reigned in Sumeri(present day Iraq), while his servant was Terah, father of Abraham, what really happened in history that we do not know and is being hidden till now? Isis is destroying the ancient ruin city of Nimrod erasing more of what we need to know. Did you know Chinese first King was black? Christopher Columbus found blacks in America and there is ample evidence of the same in form of drawings,artifacts such as sculptures and traditional folklore of the indigenous Indians. Egypt was called Kemet by original inhabitants, Ethiopia by greeks and Egypt is a recent name......................for more info ask the right questions not giving the right answers.

Albino sio white na hata hao weupe pia huwa wanapata hao maalbino. Albinism ni kitu kingine tofauti.
Kwanini vitabu vya wazungu? Andika vitakavyoelezea asili yetu waafrika kama unajua, sio lazima kila kitu walete wazungu.
 
Back
Top Bottom