Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,075
after the great flood in times of Noah,he cursed one of his children saying `he will be a servant to his brothers`..am not so certain about skin complexion but I think this is where t all started...hvi unafikiri Africa kuwa the poorest continent is just a mere coincidence???with all these resources??wazungu wametuzidi akili by default...huu ni ukweli usiopingika
nikuite mama kwa avatar yako. nimetafakari hili neno la akili mara nyingi. nimejiridhisha kuwa wazungu wana akili sawasawa kabisa na ya kwetu. kitu kidogo ambacho tunatofautiana nao ni neno 'sharing.'
kwetu kuna dawa ya kansa. ukitaka kupona lazima umfuate mwenye kuujua ule mti. hakuna 'sharing' of knowledge. hiyo dawa ni siri. mzungu akigundua kitu 'anashea' kwa maandiko.
kwanini tunakuwa wagumu wa kushea? rudi kwenye cognitive development. ipo stage ya mtoto kwenye zile hatua za mwanzo anapotaka kila jambo liishie katika yeye. mtu mweusi yupo fixed kwenye hatua hii ya psychological development. hatujawa tofauti ya wanyama wa porini kwenye hili. ngoja nikuwekee picha (i can't find it lakini ipo somewhere--i just can't find it right away) ya chui kaua nguruwe. yule chui hawezi kumaliza nguruwe yule peke yake. mbweha aliyekuja pake kula aliuawa. kama sijakosea ni baada ya mtoto kugundua kuwa ipo raha nje ya maziwa ya mama, ndipo yule mtoto kwanza huanza kujinyonya kidole, baadaye anagundua ohoo kumbe kuna raha ingine sehemu za siri, baadaye hilo linaweza kuhamia kwenye hela akawa bahili sana, au fisadi. anahamisha centre ya raha binafsi.
ubinafsi ni zao la kudumaa kisaikolojia. mtu akijua kitu hataki kushea. matokeo yake knowledge inakufa. Wazungu wanashea knowledge, na hivyo kukuza knowledge. ni hapo wanapotushinda, lakini si kwenye akili. mimi kwanza! michango ya harusi watu wanachanga hadi milion 40 kwa sababu zitaliwa. kuna ubinafsi umekuwa sugar coated katika michango ile.
selfishness is our problem. siyo akili.