Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bunge ni la wananchi. Wabunge ni wawakilishi tu. Yaani ilitakiwa huyo mwanasheria ailete kwetu wananchi wote tuijadili maana sisi ndio tutaitumia, kwa kuwa wote hatuwezi kwenda bungeni ndio mwakilishi wetu (mbunge) anajadili kwa niaba yetu. Hata hivyo bunge hutoa nafasi ya wananchi kutuma maoni, japo taarifa hiyo huwa ya kificho na ya muda mfupi sana
Jamani wanajf habari. Jamani samahani naomba ufafanuzi Kama tunasema Bunge Ni chombo Cha kutunga sheria kwa Nini wabunge wengi sio Wanasheria?
Watungaje sheria wakati hawajui sheria ??Mimi nafkiri kungekuwa na vigezo maalum vya kuwa mbunge kigezo mojawapo angalau mtu awe na certificate ya sheria.
Naomba kuwasilisha.
Ndio maana tozo zinakuwa sehemu ya maisha yetu.Ok Asante kwa ufafanuzi mzuri lakini huwa naona baadhi yao tangu waende mjengoni Ni kusinzia tu mkuu mpaka Miaka mitano inaisha
Point mkuuMtoa mada anayo hoja, ila Wachangiaji wamekariri.....!
Hapana, bunge bora linaitaji balance ya wabunge kutoka chama tawala na upinzani na spika aliyekomaa kisiasa.Bunge bora lazima liwe na idadi kubwa ya wanasheria wabobevu.