Vuteni subraNadhani kuna shida Mahala na kuna uwezekano Mwenye Chama Mbowe alikuwa anaelewa nini kinaendelea ,kiukweli kosa la kugushi lilitosha kabisa kudhibitisha kwa hawa mamluki wapo pale bungeni sio kihalali
Heshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Nadhani kuna shida Mahala na kuna uwezekano Mwenye Chama Mbowe alikuwa anaelewa nini kinaendelea ,kiukweli kosa la kugushi lilitosha kabisa kudhibitisha kwa hawa mamluki wapo pale bungeni sio kihalali
Siasa zetu zimejaa usanii.Nadhani kuna shida Mahala na kuna uwezekano Mwenye Chama Mbowe alikuwa anaelewa nini kinaendelea ,kiukweli kosa la kugushi lilitosha kabisa kudhibitisha kwa hawa mamluki wapo pale bungeni sio kihalali
Heshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Kuna mahali au tuseme hatua za kuchukua ambazo chama kilitakiwa kuzifuata ikiwemo kutoa taarifa kwa taasisi husika eg Polisi,Tume ya uchaguzi na nk.Kesi ya kughushi ni jinai inafunguliwa na Jamhuri.
Kwanini NEC nao hawajatoa uthibitisho wa barua kutoka CDM kuwa iliwateua hao 19?
CDM ilijuaje kuwa Nusrat Hanje ataachiwa gerezani usiku,siku Moja kabla ya kuapishwa hadi wakamteua kwenye hao 19?
Kuna foul play na Iko so obvious!
Kuna mahali au tuseme hatua za kuchukua ambazo chama kilitakiwa kuzifuata ikiwemo kutoa taarifa kwa taasisi husika eg Polisi,Tume ya uchaguzi na nk.
Ninachokiona ni chama kushanbuliwa na wakosaji badala ya wakosaji kushambuliwa na chama.
tatizo nec wameficha hiyo barua wanayosema walipelekewa na chadema ili iwe kama kizibitiHeshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Utasemaje walighushi bila kuona barua zilizowasilishwa NEC na Bunge? Kama kuna kughushi hizo taasisi ndio zinazopaswa kuchukua hatua, sio lazima Chadema.Heshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Sasa kama waliona wengine Wana misimamo,wakaona waende wakamtoe mtu gerezani usiku wa manane na kumsafirisha usiku Huo huo mpaka Dodoma na asubuhi akaapishwa!Wewe nae maswali yako mepesiii,Sasa kwanini Ccm wamteue Nusrat Hanje na yuko gerezani hakukuwa na wengine wenye akili kwenye hicho Chama?
Mkuu km huna cha kuandika kaa kimyaHeshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.