Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Sasa hayo mapicha ndugu yangu yanatokea wapi?Kwa covid kuna ngonjera ndiomana unaona mapichapicha.
Kikulacho kinguoni mwako kunamtu ndani ambae anayumbisha dishi ndiomaana chenga haziishi.
Anawachora tu.
Katiba ya nchi inatamka wazi kabisa ili uwe mbunge lazima utokane na chama cha siasa.chama kimekufukuza uanachama kwa mujibu wa taratibu zake. Anatokea mpuuzi anasema ulikosea kuwafukuza hivyo hajitambui ( ndugai) chama kinafuata hatua inayofuata bado watu wapo bungeni yule bibi anasema anangoja maamuzi ya mahakama . Mahakama yanaamua bado wapo bungeni.
Nani anacheza sarakasi hapo???
Huwezi kwenda mbinguni bila kufa na huwezi kuwa shekhe kama siyo muislamu