Kama CHADEMA hawakuwapitisha Mdee na wenzake kwanini hawafungulii kesi ya kugushi?

Kama CHADEMA hawakuwapitisha Mdee na wenzake kwanini hawafungulii kesi ya kugushi?

CHADEMA wanapofungua kesi, wanawashitaki:
[emoji828]️Mdee na wenzake kama walalamikiwa wa kwanza
[emoji828]️NEC kama mlalamikiwa wa pili
[emoji828]️AG kama mlalamikiwa wa tatu

Kesi wanayofungua CHADEMA ni ya kupinga uhalali wa ubunge wa Mdee na wenzake, kwa mtindo uleule unaotumika kupinga ubunge wa wabunge wa majimbo. Hoja ya CHADEMA ni kwamba hakijawahi kufanya nomination ya mwanachama wake yeyote ili ateuliwe na NEC kuwa mbunge wa viti maalumu.

Walalamikiwa wanao wajibu wa kutetea uhalili wa ubunge wa Mdee na wenzake. Kama hawana utetezi, ubunge wa walalamikiwa wa kwanza lazima utenguliwe. Kama wana utetezi, basi issue ya kugushi, if any, lazima itakuwa bayana.

..Njia unayopendekeza wewe ni ngumu.

..Cdm wamerahisisha kazi ya kuwaondoa kina Halima bungeni kwa kuwafukuza uanachama.
 
Kama hivyo ndivyo, basi CDM hawana sababu ya kuhangaika na Mdee na wenzake. Kwanini wanapoteza muda kupeleka barua NEC na kwa Speaker huku wakijua hata wakitafuta relief mahakamani hawataipata?

..aliyefikisha suala hili mahakamani ni Halima na wenzake sio Cdm.
 
Sawa, lakini si unaona CDM wanavyohangaika kupeleka barua NEC na kwa Speaker? To what end are they doing that?

..sasa si wamepata ahueni huko mahakamani?

..kwanini wasi-take advantage kwa ahueni waliyoipata wakati mahakama zimekuwa zikiwakandamiza ktk mashauri mengi?
 
..sasa si wamepata ahueni huko mahakamani?

..kwanini wasi-take advantage kwa ahueni waliyoipata wakati mahakama zimekuwa zikiwakandamiza ktk mashauri mengi?

Swala la msingi ni kwamba hawana imani na hizi institutions. Kwa hiyo, kufanya jambo ambalo wana prior knowledge kwamba halitaleta tofauti ni kupoteza muda!
 
..Njia unayopendekeza wewe ni ngumu.

..Cdm wamerahisisha kazi ya kuwaondoa kina Halima bungeni kwa kuwafukuza uanachama.

Urahisi wa hiyo njia uko wapi? Ni zaidi ya mwaka sasa tangu CC ya CDM ilipoamua kuwavua unachama, lakini bado wako mjengoni.
 
Unajua, na kila mtu anajua, kwamba JPM hatunaye tangu March 2021. Hiyo NEC bado inamuogopa JPM kusema kwamba haijui chochote kuhusu uteuzi wa Mdee na wenzake?

Kwa taarifa yako, serikali hii imepatikana kwa ulevi wa madaraka wa Magu. Usitegemee serikali hiyohiyo itajitokeza hapo hapo na kuondoa uchafu ule. Hii mbegu aliyopandikiza ya kutoheshimu sheria itachukua muda mrefu kuondoka.
 
Kama hivyo ndivyo, basi CDM hawana sababu ya kuhangaika na Mdee na wenzake. Kwanini wanapoteza muda kupeleka barua NEC na kwa Speaker huku wakijua hata wakitafuta relief mahakamani hawataipata?

CDM sio waliofungua kesi huko mahakamani, wanakwenda mahakamani kuzuia akina Mdee kulazimisha kuwa wao ni wabunge wa cdm.
 
Ni wajibu wao CDM kulinda chama chao kisitumike na watu wasio na uhalali huo. Hao NEC, bunge na wabunge wao waendelee na interest zao, lakini CDM isitumike kusafisha uhuni.

Watalindaje iwapo wanaamini taasisi zinazopaswa kuwapa huo ulinzi hazitafanya hivyo?
 
Heshima sana wanajamvi,

Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.

Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.

Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.

Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.

Ngongo kwasasa Kigali.
Kesi ya Jinai malalamikaji ni Serikali Chadema wanatakuwa kuwa mashahidi tu
 
Urahisi wa hiyo njia uko wapi? Ni zaidi ya mwaka sasa tangu CC ya CDM ilipoamua kuwavua unachama, lakini bado wako mjengoni.

..Cc ya Cdm inaaminika zaidi kufanya uamuzi unaoendana na mitizamo ya chama kuliko mahakama zetu ambazo ziko controlled na Ccm.
 
Wanakwenda kuweka rekodi sawa kuwa hao sio wabunge wao bila kujali mahakama itaamua nini.

Kuweka record sawa ni kufanikiwa kuifanya mahakama itamke hivyo. Tofauti na hivyo, kama ni kusema hao sio wabunge wao, wameshasema kwa zaidi ya mwaka sasa!
 
Kuweka record sawa ni kufanikiwa kuifanya mahakama itamke hivyo. Tofauti na hivyo, kama ni kusema hao sio wabunge wao, wameshasema kwa zaidi ya mwaka sasa!

CDM hawaipangii mahakama iamue vipi maana maamuzi ya mahakama hayaagizwi na CDM. Wao CDM wanasimamia wanachokiamini sio kinachoaminiwa na mahakama.
 
Back
Top Bottom