Ostrich eggs
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 638
- 453
Porojo njemaDj ametulia mahali tuliiiiiii na bakuli la asali anawachora tu makamanda wanavyo vimba.
Dj anajua mchongo ndio maana anapoza poza pressure kiakili sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Porojo njemaDj ametulia mahali tuliiiiiii na bakuli la asali anawachora tu makamanda wanavyo vimba.
Dj anajua mchongo ndio maana anapoza poza pressure kiakili sana.
Wew kweli ni kitimoto upo tu unafukua ila hujui unafukua nini,madai yao yalitupiliwa mbali au waliambiwa wakarekebishe makosa yao kwenye hilo jarada.Yaani wewe ndio mbuzimawe kweli kweli. Hukujua kuwa ccm inatafuta legitimacy kwa namna yoyote? Kwanini sasa hata mahakama kuu ilipotupilia mbali madai yao hadi sasa bado wapo bungeni. Ile hukumu haikutosha kuwaondoa bungeni?
Ndugu,Sijasikia zaidi ya Katibu Mkuu kushangilia ushindi wa masaa machache.
Kama utaniwekea andiko nitashukuru.
NEC si wale wale? Vipi Chadema? Mambo ya Tom & Jerry ...Kwanini NEC nao hawajatoa uthibitisho wa barua kutoka CDM kuwa iliwateua hao 19?
CDM ilijuaje kuwa Nusrat Hanje ataachiwa gerezani usiku,siku Moja kabla ya kuapishwa hadi wakamteua kwenye hao 19?
Kuna foul play na Iko so obvious!
Chadema ingetaka isingekosa njia za kimahakama kulazimisha NEC wadhibitishe!Utasemaje walighushi bila kuona barua zilizowasilishwa NEC na Bunge? Kama kuna kughushi hizo taasisi ndio zinazopaswa kuchukua hatua, sio lazima Chadema.
Mambo ya sheria tuwaachie wana sheria. Ni beyond uelewa wako na wangu.
Amandla...
Kesi ya kughushi ni jinai inafunguliwa na Jamhuri.
Ipi?Chadema ingetaka isingekosa njia za kimahakama kulazimisha NEC wadhibitishe!
Acha nikae kimyaHeshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Heshima sana wanajamvi,
Ikiwa Mdee na genge lake waligushi nyaraka na hatimaye wakafanikiwa kuwa wabunge !.
Ni kwanini mpaka leo chadema hawajawafunguliwa Mdee na wenzake kesi ya kugushi !.
Ikiwa Wakili Msomi Kibatala na wenzake walijua kama mapingamizi yao yangesababisha kesi ya Mdee kutupwa lakini hapo hapo walikuwa na nafasi ya kufanya marekebisho na kesi kuanza upya. Hawakuona walikuwa wanatoa nafasi ya kesi kuchukua muda mrefu zaidi ?.
Nadhani kuna shida hapa lakini hatuambiwi ukweli.
Ngongo kwasasa Kigali.
Wanaowaunga mkono akina Mdee hawana nia yoyote ya kuwatetea. Hawa ni wale AMBAO kwa kipindi kirefu wanaopigana KUPANDIKIZA chuki ili kuibomoa CHADEMA kama walivyofanikiwa kungine NCCR, CUF.Kesi yao ni kuhusu kuvuliwa uanachama na si suala ubunge wao. Sitegemei kama watawasilisha chochote kipya kuhusu wao kuingia bungeni. Kingekuwepo, kingeisha wasilishwa zamani na Bunge/NEC ili kuwaumbua Chadema. Hizi ni delaying tactics za kuwaongezea muda wa kukaa Bungeni na pengine kwa mtazamo wao kuwakomoa Chadema. Siamini kama wana nia ya dhati ya kubakia Chadema baada ya yote haya.
Amandla...
Utasemaje walighushi bila kuona barua zilizowasilishwa NEC na Bunge? Kama kuna kughushi hizo taasisi ndio zinazopaswa kuchukua hatua, sio lazima Chadema.
Mambo ya sheria tuwaachie wana sheria. Ni beyond uelewa wako na wangu.
Amandla...
Najua mnaogopa ila kesi ya kuvuliwa uanachama inaenda sambamba na sababu ya kuvuliwa uanachama. Mdee na wenzake wataweka kila kitu wazi kuanzia barua ya kwenda bungeni alisaini nani mpaka baraka alizotoa Mbowe watazisema wamekaa kimya mmewahukumu subirini na wao waongee mtaficha sura zenu mashabiki wa Mbowe
Utaziona; ni process tu. Utaanza kwa kuandika barua kwenda NEC kukanusha madai kwamba CHADEMA iliwasilisha NEC majina ya wanachama wake ili wateuliwe kuwa wabunge wa viti maalumu. NEC watajibu hiyo barua na, most likely, wataambatanisha nakala ya barua ya CHADEMA iliyowawezesha wao kuendelea na taratibu zingine za kukamilisha mchakato wa kuteua wabunge wa viti maalumu kwa mujibu wa sheria.
Unataka Chadema ifungue kesi ya kughushi wakati document iliyogushiwa hawana??? Vipi kama hakuna kabisa document iliyoghishiwa lakini kwa mchongo NEC aliamua kuandika barua kwa Bunge akiwatambulisha akina Mdee kama wabunge??
Usidhani Chadema ni wajinga! Unaweza tu kusema kuna ughushi kama una document inayoonesha hivo!! Inawezekana kabisa hakuna document iliyotoka Chadema - hata serikali/NEC/Bunge sio wajinga kama jambo zima likikuwa la mchongo!!
Unataka Chadema ifungue kesi ya kughushi wakati document iliyogushiwa hawana??? Vipi kama hakuna kabisa document iliyoghishiwa lakini kwa mchongo NEC aliamua kuandika barua kwa Bunge akiwatambulisha akina Mdee kama wabunge??
Usidhani Chadema ni wajinga! Unaweza tu kusema kuna ughushi kama una document inayoonesha hivo!! Inawezekana kabisa hakuna document iliyotoka Chadema - hata serikali/NEC/Bunge sio wajinga kama jambo zima likikuwa la mchongo!!
Halima alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha , anajua taratibu zote kama vile mamlaka za uteuzi wa Wabunge..hakuna kikao cha KAMATI KUU ya Cdm kilichoketi na kuwapitisha kina Halima kwenda bungeni.
..Kamati Kuu ndio inayotoa go ahead kwa Katibu Mkuu kutekeleza taratibu za Nec za uteuzi wa viti maalum.
..Maadam Kamati Kuu haikuketi basi uteuzi wa kina Halima sio halali na ndio maana chama kimewafukuza.
..Lakini upo uwezekano wa kina Halima kuwa wameteuliwa kwa MAAGIZO ya watu wa serikali na hakuna documentation yoyote iliyotumika mpaka kuwaapisha.
..Inawezekana hata NEC hawakuhusika bali kina Halima walikwenda moja kwa moja bungeni na kuapa.
CHADEMA hawajawahi kufanya mawasiliano yoyote rasmi na NEC baada ya Mdee, et al kutangazwa na NEC kuwa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA?
..hakuna kikao cha KAMATI KUU ya Cdm kilichoketi na kuwapitisha kina Halima kwenda bungeni.
..Kamati Kuu ndio inayotoa go ahead kwa Katibu Mkuu kutekeleza taratibu za Nec za uteuzi wa viti maalum.
..Maadam Kamati Kuu haikuketi basi uteuzi wa kina Halima sio halali na ndio maana chama kimewafukuza.
..Lakini upo uwezekano wa kina Halima kuwa wameteuliwa kwa MAAGIZO ya watu wa serikali na hakuna documentation yoyote iliyotumika mpaka kuwaapisha.
..Inawezekana hata NEC hawakuhusika bali kina Halima walikwenda moja kwa moja bungeni na kuapa.