Speculations zote hizi za nini? Taratibu za kuteua na kutangaza wabunge wa viti maalumu zinafahamika.
Ina maana CHADEMA hawajawahi kufanya mawasiliano yoyote rasmi na NEC baada ya Mdee na wenzake kutangazwa (au kuapishwa) kuwa wabunge wa viti maalumu wa CHADEMA?
..Cdm wamewahi kuwasiliana na Nec kuwaomba nyaraka zilizotumika kuwapeleka kina Halima bungeni, lakini hawakupewa ushirikiano.
..Ndio maana ninahusi kwamba hakuna nyaraka za uteuzi, na huenda kina Halima walikwenda moja kwa moja bungeni kwa MAAGIZO toka mamlaka fulani.