Kama CHADEMA hawakuwapitisha Mdee na wenzake kwanini hawafungulii kesi ya kugushi?

Kwa covid kuna ngonjera ndiomana unaona mapichapicha.
Kikulacho kinguoni mwako kunamtu ndani ambae anayumbisha dishi ndiomaana chenga haziishi.

Anawachora tu.
Sasa hayo mapicha ndugu yangu yanatokea wapi?
Katiba ya nchi inatamka wazi kabisa ili uwe mbunge lazima utokane na chama cha siasa.chama kimekufukuza uanachama kwa mujibu wa taratibu zake. Anatokea mpuuzi anasema ulikosea kuwafukuza hivyo hajitambui ( ndugai) chama kinafuata hatua inayofuata bado watu wapo bungeni yule bibi anasema anangoja maamuzi ya mahakama . Mahakama yanaamua bado wapo bungeni.
Nani anacheza sarakasi hapo???
Huwezi kwenda mbinguni bila kufa na huwezi kuwa shekhe kama siyo muislamu
 

Kama jambo hili lilifanywa kwa hila, uliyosema yote katika Nota Benne yanawezekana. Ninaona wabunge wakitoshwa na NEC pamoja na Mahakama, kuliko njia za hila kuthibitishwa katika hadhara.
 
Kama jambo hili lilifanywa kwa hila, uliyosema yote katika Nota Benne yanawezekana. Ninaona wabunge wakitoshwa na NEC pamoja na Mahakama, kuliko njia za hila kuthibitishwa katika hadhara.

..waliofanya hila hiyo, wana watu wao kila mahali kuanzia mahakamani, bungeni, mpaka hawa watetezi wao hapa JF.
 
Kwenye civil case hulazimiki kuitika wito wa mahakama kama unaamini utetezi wako hautabadili outcome ya shauri. Kwenda kutoa utetezi ni kupoteza muda. Kama ni kusema Mdee na wenzake sio wanachama wa CDM, mmeshasema zaidi ya mara elfu moja!

Ndio wameenda na mahakamani kusema mara ya elfu moja na moja. Au unaumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…