Kama CHADEMA wanasema Lissu kavunja katiba ya chama chake, anapata wapi mamlaka ya kujadili katiba ya nchi

Kama CHADEMA wanasema Lissu kavunja katiba ya chama chake, anapata wapi mamlaka ya kujadili katiba ya nchi

Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
afi
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
🙇🙇🙇 inafikirsha sana dah mpaka tufke kuna kaz ya ziada
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
Acha wafu wazikane
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
Leta fact! Inayothibitisha, katiba imevunjwa, pia hizi ni tuhuma, shauri husika halijathibitshwa inavyopaswa, kama ni kweli ama la, tofauti na hapo ni umbea!
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
ni muhimu wananchi sasa kujua na kuamini kwamba huyo muungwana ni kibaka mpiga kelele na tapeli wa siasa nchini 🐒
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
Tafuta kazi nyingine kwa hii umefeli mapema labda Ile ya kuidhinishwa wagombea Kiti Cha Urais ccm
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za kabisa kuchwa outta. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajunbe feli wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania
Wanadai na madai hayajadhibitishwa, mbona ccm wamefanya hivyo kwa mgombea mmoja na watu walipohoji wamefutiwa wana chama?
 
Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa kisiasa.
Acheni chokochoko kwa maslshi mapana ya taifa letu na si kwa maslahi ya matumbo machache ya chawa na machawa.
 
Back
Top Bottom