Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakisaidi uishi vizuri halafu eti umechokaHuyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa kisiasa.
Kujenga siyo priority ya kila mtu. Kuna watu wakiwa na simu kali tu basi ndo maendeleoYeye huko Singida hajajenga, anafikia gesti, ndio anisaidie mimi
Mbona CCM mnavunja katiba ya nchi na karibuni mumevunja katiba ya chama chenu, kwa kupitisha mgombea Urais bila hata chembe ya aibu, mnapata wapi nguvu ya kuisema chadema!Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa kisiasa.
Ila ya chawa ni damu?Maslahi ya Lissu ni tumbo lake
Liliondoa mkoloni mweupe likaingiza mkoloni mweusiTaifa lilishakombolewa mwaka 1961
Lissu si mroho wa madaraka kama ccm wanajipitisha wenyewe .Huyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa kisiasa.
Kwa kweli NO REFORMS NO ELECTION imewavuruga mno.ni muhimu wananchi sasa kujua na kuamini kwamba huyo muungwana ni kibaka mpiga kelele na tapeli wa siasa nchini 🐒
Mtu anajiteua kugombea urais ndani ya CCM huu ni uroho wa madaraka kweli kweli.Lissu si mroho wa madaraka kama ccm wanajipitisha wenyewe .
Yes,Kwa kweli NO REFORMS NO ELECTION imewavuruga mno.
Hao ni vibaka na matapeli wa kisiasaHuyu mtu anatusumbua na nyimbo za katiba kuchwa kutwa. Sasa ana tuhuma ya kuvunja katiba ya chama chake kwa kupandikiza wajumbe feki wa Kamati Kuu. Hebu atuache watanzania, tumechoka na utapeli wa kisiasa.
Aha ndio akajiteua kugombea urais mapema,kibaka aambiwe amevunja katiba ya CCM ibara ya 103 na 107,anayejua maana yake ni kiongozi kibaka mroho wa madaraka.Yes,
viongozi na wana chama wa chadema hawaielewi kabisa kwamba ni kususia uchaguzi ama laa?
Anejua maana yake ni kiongozi kibaka na tapeli wa siasa chadema pekeyake 🐒
elezea wadau vizuri kwa kina kifupi kidogo gentleman,Aha ndio akajiteua kugombea urais mapema,kibaka aambiwe amevunja katiba ya CCM ibara ya 103 na 107,anayejua maana yake ni kiongozi kibaka mroho wa madaraka.