Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

Kama chama kimeshindwa kushughulikia na kumaliza issue ya wabunge 19 wa covid-19? Ni nini wataweza sasa

sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
una elimu gani?
ulisomea nini?
chuo gani?
umri gani?
ulianza lini kufuatilia siasa za Tanzania?
unajua maana ya katiba?
unajua sifa za mtu kuwa mbunge kwa mujibu wa katiba ya JMT
Nani anapaswa kusema huyu ni mbunge na huyu siyo mbunge ni nani kwa hiyo katiba
alifanya nn baada ya chadema walivyofanya waliyonya?
una akili timamu?
nini kimekusukuma kuandika haya?
naomba majibu na matusi pia nitayapokea
asante
 
actually,
unajaribu tu kunithibitishia mimi na umma wa JF fraternity kwamba hakuna ambacho chadema wanaweza kufanya dhidi ya yeyote anaewavuruga, ispokua inaweza kufanywa na kufanyiwa chochote na yeyote bila tashwishwi wala ugumu wowote na yenyewe chadema isireact kivyovyote whether ni kisheria ama mass reactions 🐒
Walipeleka shauri mahakamani!matokeo yalikuwaje!!?kama mahakama ilifanya hukumu ya mchongo wao wangefanyaje!!?na hawana Dola!!?

Ifikie hatua tuwe responsible Kwa makosa yaetu wenyewe na sio kuwasukumia wengine mzigo!!

COVID-19 wanalindwa na speaker Kwa maelekezo ya ikulu na waliingizwa bungeni na ikulu.kupitia speaker ya wenye dola!!

No Sheria pekee mahakama ndio ilitakiwa itende haki Kwa maamuzi ya kuwafuta uanachama COVID-19!!

Mengine haha ni blah blah zetu tu!!

The state inataka katiba na agenda hiyo chadema ndio wanaipush sisi ambao tumeaminiwa na Dola tumeasi maagizo ya Kwa Dana Dana za kuchelewesha mchakato wake!!

Tujibu hoja zao kwanini tumekula fedha za katiba mpya na katiba haikupatikana Hadi Leo na wakati mchakato wa katiba tuliuanzisha wenyewe!!
 
Ni watu hovyo wanaiamini chadema,chama kimejaa mafisadi,pesa za join the chain hazieleweki,uchaguzi umevamiwa kwa mapesa ya kuhongwa yaani na kesho wanaenda kumfukuza Lissu
Ripoti ya CAG imewataja chadema au sisi ccm!!?

Kabla hatujazungumzia wizi was chadema tuanze kwanza na wizi was chama chetu CCM!Kwa Ile ripoti nani kafungwa!!?

Wakijitetea fedha za join the chain ndizo wanafanyia mikutano na maandamano nchi nzima nani atahoji!!?

Sisi ccm tuliotajwa kuwa ni wabadhirifu na wezi Kwa report ya CAG nani kakamatwa!?wakati dola tunayo sisi wenyewe kwanini tunashindwa kuwachukulia hatua!!?
 
you know sometimes we need to be serious 🐒

thus why nasema unashindwa kudeal na wanachama wako mwenyewe, sasa utaweza kudeal na independent institutions nyingine kweli achilia mbali kuongoza nchi 🐒

kulalamika na kulaumu unadhani ianatosha au inasaidia nini sasa 🐒

ndio maana tunasema upinzani humu nchini ni dhaifu sana na kibogoyo 🐒

yaani chama kingine au institutions nyingine inakukoroga na kukuchachafya na huna la kufanya 🐒
Namna pekee ya ku deal na COVID-19 ni kifo TU!yaani Mungu awachukue ili waondoke bungeni !lakini kwa mahakama hawawezi fanya lolote coz ikulu ndio inawabeba wawepo pale walipo Hadi sasa!!
 
una elimu gani?
ulisomea nini?
chuo gani?
umri gani?
ulianza lini kufuatilia siasa za Tanzania?
unajua maana ya katiba?
unajua sifa za mtu kuwa mbunge kwa mujibu wa katiba ya JMT
Nani anapaswa kusema huyu ni mbunge na huyu siyo mbunge ni nani kwa hiyo katiba
alifanya nn baada ya chadema walivyofanya waliyonya?
una akili timamu?
nini kimekusukuma kuandika haya?
naomba majibu na matusi pia nitayapokea
asante
iandikie Uzi maalumu hii 🐒

wale wa mihemko na matusi labda wapo wanajikoki kwanza 🐒
 
Walipeleka shauri mahakamani!matokeo yalikuwaje!!?kama mahakama ilifanya hukumu ya mchongo wao wangefanyaje!!?na hawana Dola!!?

Ifikie hatua tuwe responsible Kwa makosa yaetu wenyewe na sio kuwasukumia wengine mzigo!!

COVID-19 wanalindwa na speaker Kwa maelekezo ya ikulu na waliingizwa bungeni na ikulu.kupitia speaker ya wenye dola!!

No Sheria pekee mahakama ndio ilitakiwa itende haki Kwa maamuzi ya kuwafuta uanachama COVID-19!!

Mengine haha ni blah blah zetu tu!!

The state inataka katiba na agenda hiyo chadema ndio wanaipush sisi ambao tumeaminiwa na Dola tumeasi maagizo ya Kwa Dana Dana za kuchelewesha mchakato wake!!

Tujibu hoja zao kwanini tumekula fedha za katiba mpya na katiba haikupatikana Hadi Leo na wakati mchakato wa katiba tuliuanzisha wenyewe!!
sitaki kuwafundisha but Mass action is the last political alternative 🐒

hata hivyo mass wangeipata wap maskini ya Mungu chadema 🐒

muhimu wakubali tu hakuna wanachoweza humu nchini pekeyao 🐒
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Mkuu una bahati sana. Yaani unapata watu wa kujibu kila nonsense (upuuzi) unayoandika. We si mbunge wa CCM (mtarajiwa)? Ona haya (soni). Jaribu kujiongezea thamani katika maneno na hoja.

Usipoweza basi andika wazi kama wehu ndani ya chama: "Tumewakumbatia Covid 19 kama wabunge wa CHADEMA kinyume na katiba na hamna la kutufanya. Bunge ni letu, Rais ni wetu, tume ya uchaguzi ni yetu, mahakama ni zetu. Asiyetaka ajinyonge". Kujidai kuandika nonsense kama hoja ya kujadiliwa huku ukijua kuwa ni upuuzi ni kujidhili nafsi bila sababu ya msingi
 
Mkuu una bahati sana. Yaani unapata watu wa kujibu kila nonsense (upuuzi) unayoandika. We si mbunge wa CCM (mtarajiwa)? Ona haya (soni). Jaribu kujiongezea thamani katika maneno na hoja.

Usipoweza basi andika wazi kama wehu ndani ya chama: "Tumewakumbatia Covid 19 kama wabunge wa CHADEMA kinyume na katiba na hamna la kutufanya. Bunge ni letu, Rais ni wetu, tume ya uchaguzi ni yetu, mahakama ni zetu. Asiyetaka ajinyonge". Kujidai kuandika nonsense kama hoja ya kujadiliwa huku ukijua kuwa ni upuuzi ni kujidhili nafsi bila sababu ya msingi
bahati ni yako, hoja ni yangu.
ujibu usijibu that is none of my business 🐒

by the way,
kwahiyo Chadema mnakubali mambo yafanyike kinyume na katiba right? 🐒

kwahivyo mnatafuta uongozi ili mje muongoze nchi kinyume na katiba right? 🐒

au Jambo likiwa kinyume na katiba mnakodoa macho tu kulalamika na kulaumu halafu ndio imetoka hiyo,

kwamba mnetumia mbinu zoooote za kisiasa, akili na uwezo wenu umegota hapo and you can do nothing more 🐒


Friends, ladies and gentlemen,
tuwe wangwana tuwe wakweli, hakuna ambacho Chadema inaweza, wala hakuna ambacho Chadema itakiweza huko mbele.

daima Chadema haitaaminika kwa umma wala kua na nguvu ya kukitikisa chama kilichopo madarakani kama ndio think tankerz wake hawana tena upeo wa kuwakwamua hapo walipokwamia 🐒

by the way ,
mimi ni kiongozi wa wanainchi, tunasonga mbele vizuri mno huku jimboni na kwakweli mambo ni bam bam kadiri siku sinavyokwenda 🐒
 
sitaki kuwafundisha but Mass action is the last political alternative 🐒

hata hivyo mass wangeipata wap maskini ya Mungu chadema 🐒

muhimu wakubali tu hakuna wanachoweza humu nchini pekeyao 🐒
Kwenye ishu ya katiba!trust me the state wapo nao!na matokeo utayaona 2025
 
Kwenye ishu ya katiba!trust me the state wapo nao!na matokeo utayaona 2025
okay,
let's wait and see 🐒

but nikuhakikishie hawa jamaa hawana physical persons, ispokua ni kelele mitandao tu 🐒

lakini pia think tank hawana kabisaa yaani 🐒

hoja ya katiba unaichochea akati huna hata wabunge 50 mjengoni, real?

unatumia nini kufikiria? kwamba hoja yako itakua ya maana sana wale wengine waikubali tu kwamba wao na chama chao hawana issues wanazotaka ziwepo kwenye katiba kama wapendavyo wao, wanakupenda sanaeee 🐒



hii siasa bila maono na dhamira name mipango ya maana utalalamika maisha yako yote, huwezi saidika wala kusaidia chochote 🐒
 
bahati ni yako, hoja ni yangu.
ujibu usijibu that is none of my business 🐒

by the way,
kwahiyo Chadema mnakubali mambo yafanyike kinyume na katiba right? 🐒

kwahivyo mnatafuta uongozi ili mje muongoze nchi kinyume na katiba right? 🐒

au Jambo likiwa kinyume na katiba mnakodoa macho tu kulalamika na kulaumu halafu ndio imetoka hiyo,

kwamba mnetumia mbinu zoooote za kisiasa, akili na uwezo wenu umegota hapo and you can do nothing more 🐒


Friends, ladies and gentlemen,
tuwe wangwana tuwe wakweli, hakuna ambacho Chadema inaweza, wala hakuna ambacho Chadema itakiweza huko mbele.

daima Chadema haitaaminika kwa umma wala kua na nguvu ya kukitikisa chama kilichopo madarakani kama ndio think tankerz wake hawana tena upeo wa kuwakwamua hapo walipokwamia 🐒

by the way ,
mimi ni kiongozi wa wanainchi, tunasonga mbele vizuri mno huku jimboni na kwakweli mambo ni bam bam kadiri siku sinavyokwenda 🐒
Yaani unajiona una akili kumbe ni punguani tena.
Hivi mnajisikiaje kuwa na wabunge feki ndani yq bunge
 
una elimu gani?
ulisomea nini?
chuo gani?
umri gani?
ulianza lini kufuatilia siasa za Tanzania?
unajua maana ya katiba?
unajua sifa za mtu kuwa mbunge kwa mujibu wa katiba ya JMT
Nani anapaswa kusema huyu ni mbunge na huyu siyo mbunge ni nani kwa hiyo katiba
alifanya nn baada ya chadema walivyofanya waliyonya?
una akili timamu?
nini kimekusukuma kuandika haya?
naomba majibu na matusi pia nitayapokea
asante
Ana akili za kindezi huyo masala
 
Yaani unajiona una akili kumbe ni punguani tena.
Hivi mnajisikiaje kuwa na wabunge feki ndani yq bunge
mihemko ni ghadhabu ni yako binafsi gentleman 🐒

mie nasonga mbele bila mbambamba yoyote aise, na sina haja ya kujiskia chochote juu yako au mwingine 🐒
 
mihemko ni ghadhabu ni yako binafsi gentleman 🐒

mie nasonga mbele bila mbambamba yoyote aise, na sina haja ya kujiskia chochote juu yako au mwingine 🐒
Sasa basi usiandike upuuzi kwa jambo ambalo unalijua wazi kuwa hawa Covid 19 wanalindwa na mamlaka ila CDM ilishamalizana nao na ndio maana huoni wakiingia kwenye mikutano ya chana
 
Sasa basi usiandike upuuzi kwa jambo ambalo unalijua wazi kuwa hawa Covid 19 wanalindwa na mamlaka ila CDM ilishamalizana nao na ndio maana huoni wakiingia kwenye mikutano ya chana
sasa kama mmejiridhisha hivyo mnajihangaisha ya nini ati kutaka kuongoza dollar? So ndio itakua hao hayo tu 🐒

mtashindwa tena kila mahali, mtasingizia sijui nini, kumbe you don't have alternative plans and strategies 🐒

and thus wastage of time and resources for nothing 🐒
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Wanaweza kutoka elimu ya urais kwa wananchi wote bila kubagua. Na suala la covid 19 kamuulize spika wenu ambaye ni mwanasheria asiyefuata Sheria alizozisomea na kuwafundisha wengine na ikikukaa vyema kaihoji mahakama inayokalia hukumu!
 
Wanaweza kutoka elimu ya urais kwa wananchi wote bila kubagua. Na suala la covid 19 kamuulize spika wenu ambaye ni mwanasheria asiyefuata Sheria alizozisomea na kuwafundisha wengine na ikikukaa vyema kaihoji mahakama inayokalia hukumu!
ukiona haki yako imepokwa na taasisi za kutoa haki, hali ya kua na wewe ni taasisi, unakua unanywea, unakua mnyonge, halafu basi yanaisha hapo, right?🐒

Chadema is not fighting collectively as one strong party. there are powerful individuals within it, sabotaging each and every plans and strategies and thus nothing will be done successful ever 🐒
 
sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...

sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?

Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....

La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi [emoji205]
KWANI CHADEMA inatakiwa ifanye nini?
Inaonekana suala la Covid 19 ni geni kwako
Chadema ilikwishawafukuza uanachama wakakata rufaa Mahakama ikathibitisha kuwa kufukuzwa kwao Chadema ilifuata taratibu zote kwa mujibu wa katiba yao
Chadema ikalitaarifu bunge tena
Lakini Bunge halitaki kuwaondoa bungeni licha ya kuwa sio wanachama je unataka chadema ikawatoe kwa nguvu
Ccm ina maslahi makubwa na covid 19 kuendelea kuwa ubungeni ndio maana inawalipa kodi zenu kama mishahara hata kuingia na kuapishwa kulifanyika kihuni
 
Back
Top Bottom