Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
Unaota mchana broBila Marando na Dr Slaa Chadema ni vicoba fulani hivi [emoji209]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota mchana broBila Marando na Dr Slaa Chadema ni vicoba fulani hivi [emoji209]
Ni wajinga tu ndio wanailaumu chademaNa Hilo ni la kuwalaumu chadema kweli!!?
Tujibu hoja zao tuache vioja!!
Kwani!!
System ilishindwa kumshauri jpm asi rig uchaguzi Hadi kuiaibisha ccm ikaingiza mamluki Kwa mlango was nyuma Bungeni!!?
Kabla hujailaumu chadema kilaumu chama chetu CCM Kwa kushangilia kupita bila kupingwa Hadi tukatengeneza Bungee Batili lisilokua na wapinzani Bungeni Hadi ikalazimika kuingiza wabunge wa mchongo batili Bungeni!!
System ya usalama na Dola ilifeli Sana kuruhusu yale kutokea!!
Post kama hizi ndizo zinafanya tukishaona ID tunajua moja kwa moja huyu atakuwa kaandika upumbavu, kiufupi wewe ni mpumbavusidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
kwani Chadema inatakiwa kufanya nini?KWANI CHADEMA inatakiwa ifanye nini?
Inaonekana suala la Covid 19 ni geni kwako
Chadema ilikwishawafukuza uanachama wakakata rufaa Mahakama ikathibitisha kuwa kufukuzwa kwao Chadema ilifuata taratibu zote kwa mujibu wa katiba yao
Chadema ikalitaarifu bunge tena
Lakini Bunge halitaki kuwaondoa bungeni licha ya kuwa sio wanachama je unataka chadema ikawatoe kwa nguvu
Ccm ina maslahi makubwa na covid 19 kuendelea kuwa ubungeni ndio maana inawalipa kodi zenu kama mishahara hata kuingia na kuapishwa kulifanyika kihuni
to me,Post kama hizi ndizo zinafanya tukishaona ID tunajua moja kwa moja huyu atakuwa kaandika upumbavu, kiufupi wewe ni mpumbavu
UPUMBAFU NI KIPAJI NA WW UNACHO, CHAMA KILISHAWAVUA UANACHAMA NYINYI MACCM NA MAHAKAMA YENU HARAMU MKAWAKUMBATIA MPAKA LEO SIKU NYINGINE ACHA USE...sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Mkuu the first paragraph unaongea sense, the second one yeeah you are doing good, the third one is trash kwanini umejitoa ? Why ? Sababu me mwenyewe sio chadema wala opposition wala sisiem ila it doesnt take sides to know ccm is fuwked up..does it ?. Ila nakwambia one day people are going to collect…unaubadilishaje mfumo kama huna vibrant, committed and united opposition?🐒
huwezi,
utaishia kulalamika na kulaumu lakini hakuna atakae kusaidia ikiwa unashindwa kudeal hata na mambo yako mwenyewe 🐒
mtaishia tu kupeana moyo mtandaoni, aah Fulani ni kiboko ya serikali, mapema tu tunachukua nchi as if mnagombea wenyewe tu na wengine hawatamani kuchukua hiyo nchi 🤣
my friend,Mkuu the first paragraph unaongea sense, the second one yeeah you are doing good, the third one is trash kwanini umejitoa ? Why ? Sababu me mwenyewe sio chadema wala opposition wala sisiem ila it doesnt take sides to know ccm is fuwked up..does it ?. Ila nakwambia one day people are going to collect…
relax bas, hiyo panic na mihemko si muhimu kwangu, ni useless..🐒UPUMBAFU NI KIPAJI NA WW UNACHO, CHAMA KILISHAWAVUA UANACHAMA NYINYI MACCM NA MAHAKAMA YENU HARAMU MKAWAKUMBATIA MPAKA LEO SIKU NYINGINE ACHA USE...
Mzee let me deal with your second paragraph we mzee watu wako wanasimamia mambo yao kama mandela na yanatokea so usikatishe tamaa watu because wewe uko na njia nyingine ya ku haso, si ni sawa tu ? We kwan unataka rishafo ? Au you are comfortable as we speak ?my friend,
huwez fanya lolote kwenye jambo dogo, atakuamini nani ati unaweza fanya jambo kubwa, gentleman 🐒
one day wishers ni wale walio kata tamaa completely, hawana uelekeo tena 🐒
Chadema kuendelea kufuata sauti ya mwenyekiti au makamu mwenyekiti hakuna kitu itafanyika. sabotaging ni disaster kwa ustawi wa chama 🐒
good luck gentleman 🤞Mzee let me deal with your second paragraph we mzee watu wako wanasimamia mambo yao kama mandela na yanatokea so usikatishe tamaa watu because wewe uko na njia nyingine ya ku haso, si ni sawa tu ? We kwan unataka rishafo ? Au you are comfortable as we speak ?
Wanatuona manyani!Out of Topic....
Hivi hako katumbili huwa kanamaanisha nini mheshimiwa
Na Hilo ni la kuwalaumu chadema kweli!!?
Tujibu hoja zao tuache vioja!!
Kwani!!
System ilishindwa kumshauri jpm asi rig uchaguzi Hadi kuiaibisha ccm ikaingiza mamluki Kwa mlango was nyuma Bungeni!!?
Kabla hujailaumu chadema kilaumu chama chetu CCM Kwa kushangilia kupita bila kupingwa Hadi tukatengeneza Bungee Batili lisilokua na wapinzani Bungeni Hadi ikalazimika kuingiza wabunge wa mchongo batili Bungeni!!
System ya usalama na Dola ilifeli Sana kuruhusu yale kutokea!!
Umevimbiwa.makande dogoyaani hawa wataishia kulaumu, kulaumiana na kuilalamikia CCM maisha yao yote.....
but without alternative plans and strategies, to attract and win the support of wanainchi wataimba sana sana mara kuibiwa kura, mara katiba mpya, mara ugumu wa maisha, mara tume huru but hakuna kitu watafanya zaidi ya kulalamika tu 🐒
Swala la hao wabunge Covid-19 haliko mikononi mwa Chadema, acha ujinga wa kulazimisha jambo. Mahakama ilikwisha sema hao si wanachama wa Chadema ila wewe bado unalazimisha ili mradi uiseme Chadema! Huu ni ujinga kutaka tujadili jambo ambalo liliamriwa na mahakama, kwa kifupi ni wabunge wasio na chama na wamo bungeni kwa hisani ya CCM.sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Dogo ukishiba maharage tunakuja kujamba JFokay,
let's wait and see 🐒
but nikuhakikishie hawa jamaa hawana physical persons, ispokua ni kelele mitandao tu 🐒
lakini pia think tank hawana kabisaa yaani 🐒
hoja ya katiba unaichochea akati huna hata wabunge 50 mjengoni, real?
unatumia nini kufikiria? kwamba hoja yako itakua ya maana sana wale wengine waikubali tu kwamba wao na chama chao hawana issues wanazotaka ziwepo kwenye katiba kama wapendavyo wao, wanakupenda sanaeee 🐒
hii siasa bila maono na dhamira name mipango ya maana utalalamika maisha yako yote, huwezi saidika wala kusaidia chochote 🐒
Unaa wa kichawa ndio unaokwamisha maendeleo ya taifa hili,wale wamekubali kuwa chawa wa gereji wenu tena kwa ahadi mnazojua halafu unaleta kebehi zako,hayo ndio yanayofanya chama lako chakavu kutumia mbeleko siku zote kuhakikisha uwepo wake🤪sidhani kama kuna raia au mwanainchi anaweza kuamini na kukipa dhamana chama ambacho kimeshindwa kabisa, kutatua na kufikia muafaka wa tatizo lake dogo tu, dhidi ya wanachama wake, ambao ati kimewafukuza uanachama, hali ya kua, siku nenda rudi majukwaani na kwenye vikao vikuu vya ndani mnawazungumzia wanachama hao hao, mnaodai mmewafukuza uanachama ...
sasa jambo dogo kama hilo linawashinda, kuongoza nchi yenye mamilioni ya wanainchi mtawezea wapi?
Ifike mahali tu ikubalike kwamba, hunaaawa wanawake wamewazidi uthubutu, akili, maarifa, ubunifu, mipango na ujasiri katika kujisimamia, hawadhulumiki, hawatishiki na wameshindikana. muwe wangwana tu kukubali hilo kuliko kupoteza muda kupambana nao....
La muhimu zaid,
acheni utani kwenye masuala serious ya kuongoza nchi 🐒
Sikama covid walivyonyweshwq visungura gereji na kugeuzwa chawa😝Hawawezi kuja kushinda,wanakunywa sana visungura
Leo mmeamka na visungura ama😝Ni watu hovyo wanaiamini chadema,chama kimejaa mafisadi,pesa za join the chain hazieleweki,uchaguzi umevamiwa kwa mapesa ya kuhongwa yaani na kesho wanaenda kumfukuza Lissu