Kama Clouds wameruhusiwa kukata rufaa, kwanini Redio Imaan pia isipewe nafasi kama hiyo?

Afadhali!! yaani ingekuwa amri yangu bora ipotezewe kabisa, maana habari zinazotangazwa na radio hiyo ni kero tupu!
 
hawajatenda haki kabisa kuifungia radio Iman kwa miezi 6 tu! Binafsi ningefurahi kama ingefutwa kabisa mana ni janga kwa Taifa angalieni upya jamani
 
Jamaa mmoja kaniambia kuwa kufungiwa kwa radio imani kumeondoa nafasi ya kujua mawazo ya waislamu yakoje, maana mtu unena yaujazayo moyoni mwake. hatari iliyopo ni kuwa sasa itakuwa vigumu kujua wanawaza nini? mtu mkimya siku zote ni shujaa sana bali anayepiga kelele ni dhaifu. mfano adui anayekufukuza usiku kimyakimya ujue atakuua, lakini anayepiga kelele sio muuaji. taifa kubwa na hodari kwa vita ni Isareli, na siri kubwa yao ni watu wa kunyamaza, yaani wa siri kali. mfano ni wale 10 walivyomuuza Yusufu waliyunza ile siri zaidi ya miaka 20 wakisema kuwa Yusufu kaliwa na wanyama wakali. Nafikiri Radio ingekuwa ni fursa nzuri kwa kuueleza uzuri wa dini yako ili wengine wavutwe, na sio ubaya wa dini ya mwenzako. kinachokupa ubora sikuzote ni ule uzuri wako na si ubaya wa mwenzako.
Anyway nimalizie kwa kusema kwa hili hata wakifunguliwa radio Imani na Radio Neema, bado ule umuhimu wao wa kueleza uzuri wao umechafuka, hivyo ni vigumu kufikia malengo yao ya kuwavuta wengine wa dini tofauti. Naam kurudishwa kwao ni sawa na kuuziwa soft copy na sio hard copy
 
Kama mambo ya sensa yalishapita ya nn tena kuyaongelea? Hamjui kuwa kutokana na maneno hayo next time wa sensa mtasababisha mgomo mkubwa wa waislam kukataa kuhesabiwa? Ebu kila kitu nmachofanya angalia effect yake kwa baadae hata kama effect itajionyesha baada ya miaka mingi, angalien kizazi kijacho ataishi na aman au la!
 
ingieni mitaani si mnajifanya wababe nyie
 
Inafahamika kuwa wakristo hawajitoi mhanga ............... MAGAIDI wote ni kundi fulani ambalo linasema kuwa Yesu si Mungu.
 
wote tunasafiria jahazi moja sasa wewe litoboe uone kama patakalika . Unashabikia ugaidi eti radio imani ya kigaidi na ww uko wp c hapahapa

Sawa wote tupo hapa hapa lakini unapotoboa jahazi tukiwa katikati ya bahari si lazima tukupe kipondo kwanza kabla ya kukutosa baharini? Hivyo ndivyo ilivyofanyika kwa hiyo redo ya kigaidi, imesimamishwa na kama wataendelea na uchochezi wao itabidi watoswe!!!
 
..Kama ni kadi nyekundu wangepewa wote... Kwa nini CLOUDS FM na hawakufungiwa ???? badala yake wanalipisshwa faini...

Adhabu hotolewa kulingana na kosa! Clouds fm wamestahili yellow card!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…