Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima tutakuduwaza,
Tutaiudisha hewan hivi soon..
Mark my words,,
Hii redio yenu ingekuwa inawafundisha hata na lugha.
Mtaifungulia tuh,mtake msitake
Kwani ile yenu ilishawafundisha kuchinja??
Haitufundishi na ndio maana hujasikia tumechinja mtu
Wao si wanasema zoez la sensa lilienda vyema??
Sasa wanaifungia redio yetu kwa vigezo gani??
Mtaifungulia tuh,mtake msitake
Sasa mbona nayo imefungiwa??
Mbona jazba sana nyie upande wa pili, jalibuni basi kujibu kwa hoja sio jazba hakuna mwana jf kaifungia hiyo redio yenu
wote tunasafiria jahazi moja sasa wewe litoboe uone kama patakalika . Unashabikia ugaidi eti radio imani ya kigaidi na ww uko wp c hapahapa
..Kama ni kadi nyekundu wangepewa wote... Kwa nini CLOUDS FM na hawakufungiwa ???? badala yake wanalipisshwa faini...
Kitakachofuata ni shinikzo la kufunguliwa kwa redio hiz,tusubir tuone kinachoendelea.