Kama Clouds wameruhusiwa kukata rufaa, kwanini Redio Imaan pia isipewe nafasi kama hiyo?

Radio Imaamu ni radio uchwara inafaa ifungiwe milele
 


Muslims believe in One, Unique, Incomparable God; in the Angels created by Him; in the prophets through whom His revelations were brought to mankind; in the Day of Judgement and individual accountability for actions; in God's complete authority over human destiny and in life after death. Muslims believe in a chain of prophets starting with Adam and including Noah, Abraham, Ishmael, Isaac, Jacob, Joseph, Job, Moses, Aaron, David, Solomon, Elias, Jonah, John the Baptist, and Jesus, peace be upon them. But God's final message to man, a reconfirmation of the eternal message and a summing-up of all that has gone before was revealed to the Prophet Muhammad through Gabriel.
 
Mbona TBC walitangaza sensa ya Wakirsto na Waislam hawajafungiwa.
 
Nasoma Al-huda naskiza radio kheir na naamin redio imaan itarud hewani
 
Ila TCRA hawakufanya justice, Radio Imani inaonekana kabisa wamehukumiwa kwa kosa wasiloshitakiwa nalo na wanakosa watetezi kutokana na record zao. Jembe likiitwa Jembe Radio imani inatakiwa kupigwa faini kama clouds. Yaani kosa la kuhamasisha sensa na kuhamasisha jicho la ng'ombe hakuna mjadala, la clouds linapunguza mpaka idadi ya watu manake hawatazaliana tena.

Hata huyo mtangazaji wa clouds alitakiwa kwenda jela manake kuna ambao wamefungwa kwa kutaka kuiba lakini hawakufanikiwa kuiba.
 
Umesoma kitabu cha aya za shetani? Satanic vesses in quran . Wake up my brother you are lost.

The word Easter is in relation to the pagan goddess ISHTAR.
Passover is a celebration of jews escape from egypt mentioned in Exodus.passover has nothing to do with jesus resurrection.
 

Songambele unajua ukiueleza ukweli,vipofu watakuja kukupinga,nimeuliza sana hapa upi uchochezi wa redio Imaan????
 
Last edited by a moderator:
Huu uzi unapoelekea kuna hatari watu kujilipua kwenye keyboard ngoja nikimbie.
 
haya sasa wana forums tusubiri tuone kitatokea nini baada ya nchi yetu kugawanyika.
 
si kwa kuwa ni ya waislam??
hawana jingine hawa,,

we huoni wanavoshangilia??

maana kama redio inakuudhi si unaacha kuiskiza???
hao wasoipenda redio imaan walishawah kushikiwa mapanga na majambia waiskize?sie tunaiskiza ina mantiki kwetu,tumezoea usiku tunaskiza QUR'AN,hawa wazandiki wanaifungia
 
maana kama redio inakuudhi si unaacha kuiskiza???
hao wasoipenda redio imaan walishawah kushikiwa mapanga na majambia waiskize?sie tunaiskiza ina mantiki kwetu,tumezoea usiku tunaskiza QUR'AN,hawa wazandiki wanaifungia

Inashangaza sana
 
maana kama redio inakuudhi si unaacha kuiskiza???
hao wasoipenda redio imaan walishawah kushikiwa mapanga na majambia waiskize?sie tunaiskiza ina mantiki kwetu,tumezoea usiku tunaskiza QUR'AN,hawa wazandiki wanaifungia

"Watakupigeni vita mpaka wajaribu kukuotoa katika dini yenu kama wataweza"
 
usishangae ndo hali halisi Islam is the threat worldwide hakuna nchi ya waislamu isiyo na amani ila "Imevamiwa au conspiracy ya nchi za nje"

Uko sahihi kwa asilimia zote..
 
upo wapi uhuru wa habari ikiwa wanaficha ukweli wa kujadili mambo yanayojiri na kuiathiri jamii
 

Mkuu huwa unasikilizaje taarifa hili ndilo tatizo la UDINI hukusikiliza hadi nukta ya mwisho kwasababu ulijawa na udini wa kwanini Redio Iman imefungiwa, kwa taarifa yako Redio Clouds FM imetiwa faini kwa kushabikia ushoga jambo ambalo ni kinyume na maadili ya Tanzania. Iman kama kawaida wakati wa Sensa redio hii ilihamasisha waislam wasishiriki sensa eti ni nje ya imani ya Kiislam. Biblia yangu inasema Mariam na Yusuf walisafiri toka Misri hadi Bethlehem kwenda kushiriki sensa. Redio Neema FM ilishabikia uchinjaji wa nyama kuwa ni haki ya Wakristo kuchinja jambo ambalo wale waliosikiliza walihamasika na kufanya vurugu hadi kuleta maafa. Hata hivyo Redio zote tatu wameambiwa wako huru kukata rufaa kama hawajaridhika na hukumu hiyo.
Matokeo ya rufaa ni kwamba ikiwa rufaa itashindwa ikatakiwa Iman na Neema waendelee na adhabu basi adhabu itakuwa mara mbili yake. Clouds nayo itaambulia double hiyo hiyo. Tusubiri.
My take: Nimefurahi sana redio hizi kupewa adhabu tena ninadiriki kusema kuwa adhabu walizopewa ni ndogo sana.
 
Technically ukristo uko vitani na uislamu tangu wakati wa crusade,kilichobadilika ni mbinu tu za hayo mapigano.baada ya kuona wanapoteza frontline kiasi cha kuloose mpaka spain,wakaja na mbinu mpya ya convertwarfare agaisnt muslim and islamic states all over the world.
Mbinu wanayotumia sasa ni Inftrate and distablise,divide and rule.
That is why nchi nyingi za kiislamu ziko in chaos.
Mfano libya,syria etc.macrusader wanafinance na kuwapa silaha baadhi ya watu ili waharibu amani katika nchi hizo ili kuzidhofisha na ziwe easy target kwao.lengo ni kuwa One world government ,one globo religion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…