Kama Clouds wameruhusiwa kukata rufaa, kwanini Redio Imaan pia isipewe nafasi kama hiyo?

Kama Clouds wameruhusiwa kukata rufaa, kwanini Redio Imaan pia isipewe nafasi kama hiyo?

Mtaifungulia tuh,mtake msitake

mabaniani wanasema ng'ombe ni Mungu mbona hamuwakanushi?au c ukweli?
Matatizo yasingekuwepo kama mngeweka msisitizo kuwapeleka watoto wenu SHULE, MADRASA baadae.Angalia vyuo vingapi vya wagalatia?nyie kimoja tena cha msaada,mtoto asome dini akapewe uongozi kwenye taasisi ya fedha,wagalatia tunawekeza kwenye elimu.
Nyumba ya baba yangu itakuwa ni nyumba ya ibada si pango la wanyang'anyi.nyie ni pango la kujifunzia kareti.
Adui wa wakristu ni shetani naye anajua ndiyo maana alimwambia kama we ni mwana wa Mungu geuza mawe yawe mkate.inaelekea hadi leo anamfuata Yesu akimwambia We si mwana wa Mungu.SHETANI KAMA KAWAIDA ALISHINDWA
 
Wafungiwe na wasinguliwe milele na milele ameeen, hawa jamaa ni waanzisha vurugu hawana ishu ya kuongelea redioni zaid ya uchichezi na malalamiko
 
Kama mambo ya sensa yalishapita ya nn tena kuyaongelea? Hamjui kuwa kutokana na maneno hayo next time wa sensa mtasababisha mgomo mkubwa wa waislam kukataa kuhesabiwa? Ebu kila kitu nmachofanya angalia effect yake kwa baadae hata kama effect itajionyesha baada ya miaka mingi, angalien kizazi kijacho ataishi na aman au la!

Hamuwezi kugoma kuhesabiwa jeuri hiyo hamna mtahesabiwa mkiwa mahabusu na ndiko kuzuri maana tutapata data zote. Mpaka na za watoto wenu wa kandokando mtaeleza na ukiwa jeuri unapozwa we sio raia.
 
TCRA wapo humu ndani na ID yao ndio hiyo, ila kuhusu kukata rufaa kwenye vyombo vya habari walisema vyombo vyote hivyo vimepewa mwezi mmoja kuwasilisha rufaa yao na si clouds peke yao.

Na ukikata rufaa ukashindwa inafutwa kabisa leseni.
 
Last edited by a moderator:
Kama Clouds Fm imeruhusiwa kukata Rufaa,kuna lipi linalopelekea redio imaan kunyimwa fursa hiyo?

Ni mambo ya ajabu eti redio imaan imefungiwa kwa kisa cha kushawish watu kugomea sensa,kwani malalamiko ya sensa serikali hii haiyajui??

Kama waliona katika kuifunga hiyo redio iliyoshabikia sakata la kuchinja basi kulikuwa na ulazima wa kuifunga redio imaan hapo wamepotoka..

Hatujaona mantiki ya kuifunga redio hiyo eti kwa sababu za sensa,walikuwa wapi siku zote hizo??

Ila tunawapa tahadhari tuh ya kwamba ukweli haufungwi ili usisikike,zipo nia nyingi sana za kuufikisha ukweli kwa jamii..


Hakuna asiejua ya kwamba redio iman inachukiwa kwa kuwa tu inasema maneno wazi wazi pasi na kificho..

Tutaona mwisho wake..

Daima tutajivunia Redio imaan..

tuvumilie tu inshallah,baada ya miezi sita LIBENEKE LITANEDELEA KAMA KAWAIDA.
MAANA REDIO IMAAN IMETUFAHAMISHA MAMBO MEENGI SANA,NA WANAOSEMA BORA IMEFUNGIWA,AU IFUNGIWE DAIMA HAWANA HOJA,MAANA KAMA REDIO HUIPEND USIISIKILIZE,MBONA KUNA WATU WANADAI HAWAISKIZI CLOUDS HAPA,ANAYEONA REDIO IMAAN KERO,ASIIFUNGUE KUSKIZA
 
TCRA wapo humu ndani na ID yao ndio hiyo, ila kuhusu kukata rufaa kwenye vyombo vya habari walisema vyombo vyote hivyo vimepewa mwezi mmoja kuwasilisha rufaa yao na si clouds peke yao.


Kuna kitu kimoja ww ndugu haujajua..

Huwez kuzuia mvua,kama inanyesha inanyesha tuh,,Tenkonolojia hiyo wewe kwa sasa huna,,,

Redio iman ni kama mvua...
 
Kwani Yesu ni Mungu??

I love your name men.... Mi ni mkristu pia ila siwezi kuisema vibaya dini ya mwezangu.. Wala kukashifu imani yake kwani mwisho wa yote hizi dini tumezipokea.

Nadhani wanatuhusiwa kukata rufaaa sio mbaya.
 
KICHWA KINANIUMA...............Sikutegemea kama angetokea wakuitetea Radio Iman:eyeroll1:
 
Nina hasira sana kuona dhuluma ya wazi wakifanyiwa waislam ilihali niko hai duniani,haya ni matokeo ya mfumo kristo.Tunawataadhirisha CCM,sasa rasmi kura zetu mmezikosa,kumbe mko kwa ajili ya kutuhujumu.Kazi tuliyoifanya kuinusuru ccm ni kubwa sana kuhakikisha slaa haingii ikulu,but hamthamini mchango wetu.Jamani waislamu tuangalieni dhuluma hii,radio yenyewe ni moja tu,lakini tunapigwa vita kila kona.

Radio Imaan ni radio ya kiislam,ilikuwa inatangaza mambo ya kiislam na msimamo wa viongozi wetu,mlitegemea watangaze nini?Kama hoja ni sensa basi wangezifungia radio zote za kiislam hapa nchini,kuanzia Radio kheri, Qiblaten nk kwani zote zilikuwa zinatangaza misimamo ya waislam na wala si kuhamasisha watu wasijiandikishe.
 
Huu ukristo kama si kukumbatiwa na baadhi ya serikali za kidunia,leo hii dunia ingekuwa pahala salama na palipojaa uwadilifu.

Ila wakati mwingine kuwa na vitu kama hivi,vinakuonyesha ni jinsi gani unavyoishi katika dunia na changamoto unazokabiliana nazo kuelekea kwenye mafanikio.

Dunia ni kama kituo cha kufanyia mtihani. Katika kufanya mitihani,zipo changamoto chungu mzima unazokabiliana nazo ili kufikia kufaulu au kufeli.
Ukristo,ukisimamiwa kwa gharama zozote na kwa nguvu zote na baadhi ya serikali zenye nguvu hapa duniani,ni sehemu mojawapo ya changamoto tunazokabiliwa nazo Waislamu dunia mzima kuelekea kufuzu au kinyume na hivyo.

Kumbukeni mti wenye matunda ndiyo unaopopolewa mawe!! Ifike wakati sasa kwa Waislamu wafahamu hivyo. Hawa jamaa hawana matumaini tena baada ya hii dunia. Wao dunia wameifanya ndio kila kitu katika maisha yao!! Lakini kwa mtu mwenye kufikiri sawasawa anaweza asiitegemee sana dunia.
Sababu dunia ni sehemu ya mapito tu!! Angalieni zaidi kilichowaleta duniani na si mlichokikuta duniani that's all!!
 
Ujinga na upuuzi usingekuwepo Radio Imaan ingeshafungiwa siku nyingi na wale vibabu wanaohubiri chuki wangecharazwa bakora za makalio wote. Ushukuru huo huo ujinga na upuuzi angalau imedumu kwa mwaka
Hivyo vibabu huingia studio vikiwa vimelewa kahawa na kashata
 
Back
Top Bottom