Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

Chama sio nahodha wa NT, toka 2015 kacheza mechi 15 tu,wastani wa mechi 3 kwa mwaka. Sasa nahodha gani anacheza game chache hvyo? Chama ni mchezaji mzuri akicheza na ihefu au utopolo.
 
yakubu kaitwa game moja tu, halafu msumbiji haina wachezaji wa kutisha kihvyo
 
Kinachonishangaza kwako...ni kushindwa kutambua suala dogo tu kuwa ligi yetu haina pesa,ukiwa na pesa unasajili hata Messi...badala yake unasumbuka kuchambua vitu viguuumu kama tactics za mpira...anza kujifunza vitu vidogovidogo kwanza kama kwanini Giroud hachezi Chelsea ila ni regular starter halo Ufaransa...Ni ushauri tu mkuu
 
captain wa zambia alikuwa mchezaj wa tp mazembe, tena alifukuzwa kambini na kocha micho,
 
Mbona hujiulizi Nyoni Simba yuko benchi lakini timu ya taifa anaanza na anacheza vizuri.
Kuitwa au kutoitwa mchezaji timu ya taifa inategemea na aina ya wachezaji anaowataka kocha na aina ya mbinu anayotumia tumewahi kuona kocha wa ufaransa wakati wanacheza kombe la dunia aliwaacha kina Cantona na Ginola pamoja na kwamba walikuwa kwenye peak na bado akapata matokeo.
Zaidi ya ushabiki wako wa upotolo sioni cha ziada.
 
Umeandika ukweli mtupu. Chukua hata timu ya ligi ya congo inayoshika nafasi ya 10 alafu wachezee kwenye uwanja unaopatikana sehemu tofauti na nyumbani kila mmoja. Utaona hawa kulwa na doto wa Kariakoo watakavyopotezwa vibaya.
Ukitaka kujua mpira wetu upo chini,chukua timu ya Uganda au Zambia na isiwe kwenye top 3 yao icheze na hawa mapacha ah lambalamba utagundua kitu fulani hakiko sawa.
 
chama ni mchezaji wa kawaida sana anaye jua kucheza na ma-jukwaa na vichwa vya mashabiki vilaza si vinginevyo……….
 
😂😂😂
 
Pira BIRIANI la CHAMA ni mihogo ya kuchoma kwa kocha MICHO....


Halafu MICHO alikuwepo HAPA....analijua SOKA LETU....
Anaijua TFF.....

Kubwa zaidi anamjua CHAMA WA MSIMBAZI...pale mikiani....
 
Utovu wa nidhamu Ni sawa

Ila rejea majibu yangu na kichwa Cha barua yako hapo juu

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Umeandika ukweli mtupu. Chukua hata timu ya ligi ya congo inayoshika nafasi ya 10 alafu wachezee kwenye uwanja unaopatikana sehemu tofauti na nyumbani kila mmoja. Utaona hawa kulwa na doto wa Kariakoo watakavyopotezwa vibaya.
Nafikiri wakati Simba anamfunga ahly, nkana, vital zilikuwa zinashika nafasi ya 40 kwenye ligi zao

Pia wakati yanga anamfunga ahly pale taifa ahly alikuwa ameshuka daraja Kule misri

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri wakati Simba anamfunga ahly, nkana, vital zilikuwa zinashika nafasi ya 40 kwenye ligi zao

Pia wakati yanga anamfunga ahly pale taifa ahly alikuwa ameshuka daraja Kule misri

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app

Na wakati Simba anamfunga Zamalek, basi Zamalek alikuwa anashika nafasi ya 20 kwenye Ligi ya Somalia aliyokuwa anashiriki.
 
Utopolo walikuwa wanamwimba chama wiku moja iliyopita baada ya viongozi wao kuwadanganya anakuja jangwani lakini baada ya dili lao la uongo kubumburuka wamegeuza kibao Chama si lolote hivi pale utopolo mchezaji gani utamlunganisha na Chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…