Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nikajiuliza mpira wetu una tatizo gani?

Iweje leo kiungo tunayemwona kuwa asipokuwepo kwenye mechi ya Simba na timu nyingine tuanona kama hakuna timu, leo anakosekana kwenye timu yake ya taifa. Kwa kweli sikuyaamini macho yangu kuhusu hilo. Chama huyu huyu aliyeimpandishia dau la kumsajili timu yake ya Simba baada ya kutakiwa na mahasimu wao Yanga anakosa hata kuwa kwenye wachezaji wa akiba (Reserve)?

Nilipoendelea kushangaa nikakutana na mchambuzi mmoja mahiri alikuwa akieleza kuhusu ubora na udhaifu wa timu ya Simba inapocheza uwanjani. Kwa kumnukuu mchambuzi huyo alieleza kuwa "Timu ya Simba ni bora kwa kuchezea mpira hasa wa pasi fupi za kufurahisha mashabiki (wenyewe wanaita pira biriani) lakini ni dhaifu ikikutana na timu zinazocheza mpira wa nguvu".

Akaendelea kusema ubora wa Simba unamtegemea zaidi Cloutus Chama, ingawa naye hana uwezo wa kucheza mpira wa nguvu. Sehemu kubwa ya mpira anaocheza Chama anatumia unyumbufu wa mwili wake kuwadanganya wapinzani wake kwa vyenga vya hapa na pale.

Hivyo, kama taifa yatupasa tujitathmini kuhusu Ubora wa Ligi yetu ambayo ina wachezaji wanaoimbwa midomoni kama Chama na wengine.
Ni kichefuchefu kabisa mpira wa Bongo.

Ndiyo maana mimi baada ya kuutizama mpira wa hivi karibuni kati ya Mbumbumbu SC vs Vyura FC nili post hivi👇👇

20201117_162654.jpg
 
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nikajiuliza mpira wetu una tatizo gani?

Iweje leo kiungo tunayemwona kuwa asipokuwepo kwenye mechi ya Simba na timu nyingine tuanona kama hakuna timu, leo anakosekana kwenye timu yake ya taifa. Kwa kweli sikuyaamini macho yangu kuhusu hilo. Chama huyu huyu aliyeimpandishia dau la kumsajili timu yake ya Simba baada ya kutakiwa na mahasimu wao Yanga anakosa hata kuwa kwenye wachezaji wa akiba (Reserve)?

Nilipoendelea kushangaa nikakutana na mchambuzi mmoja mahiri alikuwa akieleza kuhusu ubora na udhaifu wa timu ya Simba inapocheza uwanjani. Kwa kumnukuu mchambuzi huyo alieleza kuwa "Timu ya Simba ni bora kwa kuchezea mpira hasa wa pasi fupi za kufurahisha mashabiki (wenyewe wanaita pira biriani) lakini ni dhaifu ikikutana na timu zinazocheza mpira wa nguvu".

Akaendelea kusema ubora wa Simba unamtegemea zaidi Cloutus Chama, ingawa naye hana uwezo wa kucheza mpira wa nguvu. Sehemu kubwa ya mpira anaocheza Chama anatumia unyumbufu wa mwili wake kuwadanganya wapinzani wake kwa vyenga vya hapa na pale.

Hivyo, kama taifa yatupasa tujitathmini kuhusu Ubora wa Ligi yetu ambayo ina wachezaji wanaoimbwa midomoni kama Chama na wengine.
Chama hajaitwa Kwasababu za kinidhamu na sio uwezo, aliitwa akachelewa ku report akapigwa chini sii vinginevyo
 
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo.
Kocha wa Zambia, Micho, alimuondoa kwa hasira ile mara ya mwisho kwenye mechi za kirafiki kwa kuwa Chama alichelewa kuwasili. Kumbuka Simba ilicheza mechi Dodoma, baada ya siku hiyo ligi zilisimama. Chama alijitetea kwamba Dodoma hadi Dar kuna umbali, lakini Micho hakumwelewa. Rungu kama hilo lilimkuta pia Aubrey Chirwa wa Azam FC (ingawa ninyi mnamwita Obrey). Lakini kwa Chirwa ilikuwa ni uzembe maana alikuwa Dar akaachwa na ndege, na hata maafisa wa Azam walimlaumu. Kwa hiyo Chama na Chirwa waliitwa timu ya Zambia, ila Micho alichukulia kama wamefanya dharau
 
... inaonesha kuwa ni utovu wa nidhamu wa kutozingatia muda.Kwa hili naungana na kocha.
Hoja yako ilikuwa ni kwamba Chama hajaitwa kwa sababu ya kuwa na kiwango duni kulinganisha na walioitwa. Umeandika maelezo mengi na marefu kumbe haukufanya uchunguzi hata walau kidogo tu kwenye media za Zambia ili unapoanzisha thread uwe na uhakika na kile unachoripoti. Angalia sasa unavyohaha. Umehama kwenye kiwango duni umehamia kwenye nidhamu, ambayo haikuwa hoja yako na wala haukuitolea maelezo popote. Siku nyingine usikurupuke kuanzisha uzi kama hujui Kiingereza

1605620800873.png
 
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nikajiuliza mpira wetu una tatizo gani?

Iweje leo kiungo tunayemwona kuwa asipokuwepo kwenye mechi ya Simba na timu nyingine tuanona kama hakuna timu, leo anakosekana kwenye timu yake ya taifa. Kwa kweli sikuyaamini macho yangu kuhusu hilo. Chama huyu huyu aliyeimpandishia dau la kumsajili timu yake ya Simba baada ya kutakiwa na mahasimu wao Yanga anakosa hata kuwa kwenye wachezaji wa akiba (Reserve)?

Nilipoendelea kushangaa nikakutana na mchambuzi mmoja mahiri alikuwa akieleza kuhusu ubora na udhaifu wa timu ya Simba inapocheza uwanjani. Kwa kumnukuu mchambuzi huyo alieleza kuwa "Timu ya Simba ni bora kwa kuchezea mpira hasa wa pasi fupi za kufurahisha mashabiki (wenyewe wanaita pira biriani) lakini ni dhaifu ikikutana na timu zinazocheza mpira wa nguvu".

Akaendelea kusema ubora wa Simba unamtegemea zaidi Cloutus Chama, ingawa naye hana uwezo wa kucheza mpira wa nguvu. Sehemu kubwa ya mpira anaocheza Chama anatumia unyumbufu wa mwili wake kuwadanganya wapinzani wake kwa vyenga vya hapa na pale.

Hivyo, kama taifa yatupasa tujitathmini kuhusu Ubora wa Ligi yetu ambayo ina wachezaji wanaoimbwa midomoni kama Chama na wengine.
Yote haya baada ya press ya Mo Dewji kuwa jamaa kashasaini
 
Kinachonishangaza kwako...ni kushindwa kutambua suala dogo tu kuwa ligi yetu haina pesa,ukiwa na pesa unasajili hata Messi...badala yake unasumbuka kuchambua vitu viguuumu kama tactics za mpira...anza kujifunza vitu vidogovidogo kwanza kama kwanini Giroud hachezi Chelsea ila ni regular starter halo Ufaransa...Ni ushauri tu mkuu
Atajifanya hajakuelewa
 
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nikajiuliza mpira wetu una tatizo gani?

Iweje leo kiungo tunayemwona kuwa asipokuwepo kwenye mechi ya Simba na timu nyingine tuanona kama hakuna timu, leo anakosekana kwenye timu yake ya taifa. Kwa kweli sikuyaamini macho yangu kuhusu hilo. Chama huyu huyu aliyeimpandishia dau la kumsajili timu yake ya Simba baada ya kutakiwa na mahasimu wao Yanga anakosa hata kuwa kwenye wachezaji wa akiba (Reserve)?

Nilipoendelea kushangaa nikakutana na mchambuzi mmoja mahiri alikuwa akieleza kuhusu ubora na udhaifu wa timu ya Simba inapocheza uwanjani. Kwa kumnukuu mchambuzi huyo alieleza kuwa "Timu ya Simba ni bora kwa kuchezea mpira hasa wa pasi fupi za kufurahisha mashabiki (wenyewe wanaita pira biriani) lakini ni dhaifu ikikutana na timu zinazocheza mpira wa nguvu".

Akaendelea kusema ubora wa Simba unamtegemea zaidi Cloutus Chama, ingawa naye hana uwezo wa kucheza mpira wa nguvu. Sehemu kubwa ya mpira anaocheza Chama anatumia unyumbufu wa mwili wake kuwadanganya wapinzani wake kwa vyenga vya hapa na pale.

Hivyo, kama taifa yatupasa tujitathmini kuhusu Ubora wa Ligi yetu ambayo ina wachezaji wanaoimbwa midomoni kama Chama na wengine.
Mkuu,, kwenye inchi ya watu vipofu ikitokea mtu mwenye Jicho moja,,
huwa mfalme..
Chama nilishagunduwa muda mrefu hakuna kitu mle.
Wachezaji wengi wa Malawi,Zimbabwe, Zambia, Botswana, Mozambique, Congo,,Lesotho,Swaziland.. Ghana,Nigeria..
Dreams zao ni kucheza south Africa..
Na ukiona tupo nae huku Africa mashariki ,,elewa bado hajafikia viwango vya south Africa..
Tatizo bongo tuna overrate wachezaji wa nje,,na kuwapa mishahara minono,,huku tuki wa underrate wachezaji wetu wazawa kwa kuwapa mishahara kiduchu..
Pamoja na viwango vyao kufanana uwanjani..
 
Cha Arusha au Cha Tarime hiki kijani?
Yanga Chama anawaumaaaaaaaaa! Na vile mbinu yao ya kuwadanganya mashabiki imebuma wamebadilisha gia angan sahiz ni watu wa kuibua mara hili mara lile ila kiukweli,,, utopolo united mtapata tabu sana.
 
Huyu hajui anachokisema, chama c alichelewa mechi iliyopita alipoitwa kambani yeye na chirwa na micho akasema hadharan wameonyesha utovu wa nidham na hawahitaji tena?

Unaweza kuta huyu ni mchambuz wa soka lakin hajui chochote kuhusu hili
 
Back
Top Bottom