Kama Diamond anashindwa kumsitiri baba yake kwenye ukata utajiri wake una faida gani?

Kama Diamond anashindwa kumsitiri baba yake kwenye ukata utajiri wake una faida gani?

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Mimi Kama mzazi naumizwa kuona watu wamejaaliwa Mali lakini hizo fedha haziwezi kusaidia familia yake.

Kama uwezi kusaidia familia yako unaondikaje kusaidia familia za wengine? Naomba niwakumbushe vijana; sote tuna dhambi na hakuna namna tutakwepa ilo.

Wanaume wengi wametelekeza watoto na hata familia zao. Napenda kuwajulisha hakuna mwanaume aliyekamilika. Tusitelekeze au kuwahukumu wazazi kwa makosa yao wakati wa mahusiano.

Unaitwa tajiri ila wa nyumbani kwako wanazalilika si poa.
 
Siyo yeye Diamond bali huo ni mkwara wa mama yake, yaani dogo kanunua ugomvi wa wanandoa. Pia unaweza kuta financials zote mama ndiye muamuzi, so kijana hapaswi kulaumiwa, baba anapaswa akapige magoti kwa mkewe ili yaishe asaidiwe.
 
Wewe huwajui wanaume punguani tu....ngoja utakutana nao kama bado haujaolewa...

Watakupa mimba ukiwasogelea hawakujui mwanaume wa hivi hana tofauti na mwanamke anayekuzalia mtoto wa nje.
 
Mimi Kama mzazi naumizwa kuona watu wamejaaliwa Mali lakini hizo fedha haziwezi kusaidia familia yake.

Kama uwezi kusaidia familia yako unaondikaje kusaidia familia za wengine? Naomba niwakumbushe vijana; sote tuna dhambi na hakuna namna tutakwepa ilo.

Wanaume wengi wametelekeza watoto na hata familia zao. Napenda kuwajulisha hakuna mwanaume aliyekamilika. Tusitelekeze au kuwahukumu wazazi kwa makosa yao wakati wa mahusiano.

Unaitwa tajiri ila wa nyumbani kwako wanazalilika si poa.
Alipotia mimba kazi yake iliisha, acha alioungua nao jua, ale nao kivulini
 
Mimi Kama mzazi naumizwa kuona watu wamejaaliwa Mali lakini hizo fedha haziwezi kusaidia familia yake.

Kama uwezi kusaidia familia yako unaondikaje kusaidia familia za wengine? Naomba niwakumbushe vijana; sote tuna dhambi na hakuna namna tutakwepa ilo.

Wanaume wengi wametelekeza watoto na hata familia zao. Napenda kuwajulisha hakuna mwanaume aliyekamilika. Tusitelekeze au kuwahukumu wazazi kwa makosa yao wakati wa mahusiano.

Unaitwa tajiri ila wa nyumbani kwako wanazalilika si poa.
Kutoa ni moyo usambe ni utajiri
 
KAMA HAUKO NDANI YA FAMILIA HUSIKA HUWEZI JUA MATATIZO YALIYOMO NA PIA HAKUNA CHUKI MBAYA KAMA INAYOTOKEA MIONGONI MWA WANAFAMILIA,HUWEZI JUA KINACHOENDELEA KATI YA YULE MZEE NA FAMILIA YAKE.
Kweli kabisa mkuu. Yaani kuna vitu vinafanywa na watu unaowaamini vinakutoa kwenye reli kabisa
 
Mimi kwa kweli simlaumu Diamond

Hatujui aliyoyapitia wakati anahustle kuna kulala njaaa kuna kudaiwa kodi kuna kuumwa hamna hela ya matibabu
Mama yake labda alimpambania sana

Na pia kwa sababu hatujui ya zamani labda kipindi hiko baba ake alikua ana uwezo akawa ignore...
Ndio tusamehe 7×70 lakini sio kila mtu ana huo moyo....
Nmewaza tu hapa....

Ndugu nasibu si wakulaumiwa
 
Wewe huwajui wanaume punguani tu....ngoja utakutana nao kama bado haujaolewa...

Watakupa mimba ukiwasogelea hawakujui.mwanaume wa hivi hana tofauti na mwanamke anayekuzalia mtoto wa nje.
Wabongo huwa mnajifanya mnajua sana.


Ya kwenye ndoa Waachie wahusika otherwise na wewe uwe mwanandoa.
IMG_20201220_213454.jpeg
 
KAMA HAUKO NDANI YA FAMILIA HUSIKA HUWEZI JUA MATATIZO YALIYOMO NA PIA HAKUNA CHUKI MBAYA KAMA INAYOTOKEA MIONGONI MWA WANAFAMILIA,HUWEZI JUA KINACHOENDELEA KATI YA YULE MZEE NA FAMILIA YAKE.
KWELI KABISA. Hizi familia zina mambo mengi sana, kama huyafahamu ya ndani usimuhukumu mtu.
 
Mimi Kama mzazi naumizwa kuona watu wamejaaliwa Mali lakini hizo fedha haziwezi kusaidia familia yake.

Kama uwezi kusaidia familia yako unaondikaje kusaidia familia za wengine? Naomba niwakumbushe vijana; sote tuna dhambi na hakuna namna tutakwepa ilo.

Wanaume wengi wametelekeza watoto na hata familia zao. Napenda kuwajulisha hakuna mwanaume aliyekamilika. Tusitelekeze au kuwahukumu wazazi kwa makosa yao wakati wa mahusiano.

Unaitwa tajiri ila wa nyumbani kwako wanazalilika si poa.
Ukizaa Lea, usipolea usilaumu usipolelewa.
 
Mambo yao ya familia tuwaachie wamalizane wao wenyewe. Kama mzee hakuona umuhimu wa familia yake kipindi ni maskini basi akirudi this time anakua ni mnafiki tu (akisema anawapenda familia ni sababu wana pesa). Si ajabu kama diamond angekua bado fukara, huyu mzee asingejitokeza mpaka kifo.

Hao wanajuana wenyewe, mali katafuta yeye je sisi ni nani hata tumpangie matumizi?
 
Back
Top Bottom