Siyo yeye Diamond bali huo ni mkwara wa mama yake, yaani dogo kanunua ugomvi wa wanandoa. Pia unaweza kuta financials zote mama ndiye muamuzi, so kijana hapaswi kulaumiwa, baba anapaswa akapige magoti kwa mkewe ili yaishe asaidiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo yeye Diamond bali huo ni mkwara wa mama yake, yaani dogo kanunua ugomvi wa wanandoa. Pia unaweza kuta financials zote mama ndiye muamuzi, so kijana hapaswi kulaumiwa, baba anapaswa akapige magoti kwa mkewe ili yaishe asaidiwe.
Huyo hapoDomo alikua na bichwa.baya kumbe.ndo analifunika funika na mirasta
Diamond mnamlaumu bure..sumu aliyomezeshwa ni mbaya sana...na uskute kashaambiwa ukimsaidia tu babako nakupa laana...kama ungekua ww ungefanya na laana ya mama ni kali sana!?
Hakuna masharti wala chochote. Biblia inasema anikanae Duniani nitamkana mbele ya baba yangu. Hakuna dhambi isiyo na malipo.chezea masharti wewe!
Wakinsaidia mpaka wakwambie!!?? We nani!!??Mkuu humu zaidi wapo upande wa Mond kwasababu ya mahaba waliyonayo juu yke hivyo hawaangalii uzito wa hili jambo...! Huwezi kutoa msaada nje wakati kwako kunateketea..kuhusu kuumwa huyo mzee keshaumwa mara nyingi na hatujawahi kuona akipewa uzito si na Mond wala Mwajuma...! Akifa watamuweka kwenye kurasa zao Instagram na kwingineko wakijutia maamuzi yao (,japo kiunafki)...Dunia tunapita yatupasa kutengeneza mema na kuyaishi kuliko visasi.
Yule aliyemwambia Mzee Abdul amtelekeze Nasibu utotoni!!???Masharti ya yule sangoma wake wa kigoma...
Una uhakika baba hatunzwi!!???Tuambie sababu alizozipata kwa mama yake ni zipi ili tupime kama zinafaa kutomtunza baba yake.
Mimi nani?! Unataka nikutajie jina langu ama?!Wakinsaidia mpaka wakwambie!!?? We nani!!??
Taja jina binti.Mimi nani?! Unataka nikutajie jina langu ama?!
Inawezekana wewe ndiye ulikuwa maskini na baba yako tajiri ukaamua urudi kivulini baada ya kuungua jua sana.