Kama Diamond anashindwa kumsitiri baba yake kwenye ukata utajiri wake una faida gani?

Kama Diamond anashindwa kumsitiri baba yake kwenye ukata utajiri wake una faida gani?

Tuambie sababu alizozipata kwa mama yake ni zipi ili tupime kama zinafaa kutomtunza baba yake.
Ulishawah kuona picha ambayo imesambaa sana mitandaoni wakiwa wote watatu tena wanacheka sana??

Pili,kwa tabia ya mama yake kupenda kutembea na watoto wadogo,ulishawahi fikiria nje ya box kuwa baba yake alikumbwa na maswahiba gan?
 
Kwani picha si mtu anafanya kuitengeneza tu,mbona ni jambo rahisi sana hata kwa ngumbaru wa IT.
Hata kama hiyo picha ni ya kweli kwani hayo matatizo hayo si yanaweza kuwa yalianza baada yake.
Unajuaje kama siku hiyo walikuwa na njaa wakaenda kujipendekeza kwake angalau wapate mlo wa siku?
Mama yake angekuwa anatembea na watoto wadogo si angechukuliwa hatua za kisheria?
Hata kama ni kweli anatembea na watoto wadogo unajuaje alianza kufanya hivyo baada ya kutelekezwa ili kumkomoa baada ya kuachana?
Ulishawah kuona picha ambayo imesambaa sana mitandaoni wakiwa wote watatu tena wanacheka sana??

Pili,kwa tabia ya mama yake kupenda kutembea na watoto wadogo,ulishawahi fikiria nje ya box kuwa baba yake alikumbwa na maswahiba gan?
 
Hata Kama mondi,alipitia matatizo gani,Kwanza ugomvi wa wazazi wewe mtoto haukuhusu,pia.imetokea mzee almasi kamaliza akaunti yake ya maisha katika sayari hi,nasibu ataenda au haendi mazikoni? Au akiwa anaumwa nasibu atatoa msaada au hatotoa?
Inashangaza wengine humu ni wanaume na tumekaa na tunawajua vizuri wanawake,Bado tunamuunga mkono mondi kwa anachofanya.

Kama nilivosema mkuu
Hatujui kilichotokea sio kwamba tuconclude mwanamke ndo mbaya....

Labda hata mama hajachangia chochote ila mtoto ukatili aliuona mwenyewe...
Tusiharakishe kumpa mama lawama


Maisha ya watu haya ...
Hatujui kiini cha tatizo kuna mambo hata nawewe ukifanyiwa nahisi hauwezi kusamehe....mimi kwa sababu sijui aliyoyapitia bwana nasibu
Narudia tena sioni cha kumlaumu
 
Diamond mnamlaumu bure..sumu aliyomezeshwa ni mbaya sana...na uskute kashaambiwa ukimsaidia tu babako nakupa laana...kama ungekua ww ungefanya na laana ya mama ni kali sana!?
 
Kwaiyo unataka kusemaje brother kuwa mondi yupo sawa? History ya mondi inafanana na yangu na nilikuwa sitaki kabisa issue za mzee kuzisikia lakini tangu nioee na niwe na mtoto ilibidi nimtafute baba na kuongea nae na sasa tupo imara sana na ushirikiano wakutosha!!! Brother kama hujaoa usijaribu kumsema vbaya mzee wako subiri siku uwe na familia utaelewa.... Mondi yule ni Baba yake na unajua mzazi hakosei hii sentesi wataelewa watu wachache ila huo ndo kweli mdogo amsaidie baba yake!!! Kwasababu pamoja na mzazi hakosei lakini bado baba kaomba msamaha kwa mwanaye kila siku tunasikia interview baba anaomba mwanaye amsaidie!!! Nikwambie kitu katika upuuzi siwezi fanya nikumuhudumia baba ambaye sio wangu ukitoa mkwe... Yani mondi anampa maisha yule fala anaacha kusaidia baba yake ule ni Ujinga wa kiwango cha juu!!! Ajifunze maana na yeye ana watoto na ameona changamoto za wanawake zilivyo wengine wamloge ilo ni somo kuwa Baba ni Baba tuu na Baba hawezi kukwambia mama yako alifanya ivi au vile sisi wanaume tuna koromeo kazi yake nikuhifazi hadi magumu! Sasa mondi anamuangisha sana mzee wake
Wewe huwajui wanaume punguani tu....ngoja utakutana nao kama bado haujaolewa...

Watakupa mimba ukiwasogelea hawakujui mwanaume wa hivi hana tofauti na mwanamke anayekuzalia mtoto wa nje.
 
Kwa nini unaamini kamezeshwa sumu?
Diamond mnamlaumu bure..sumu aliyomezeshwa ni mbaya sana...na uskute kashaambiwa ukimsaidia tu babako nakupa laana...kama ungekua ww ungefanya na laana ya mama ni kali sana!?
 
Leo umeamua kuwa fair kwa upande wa Diamond....
Mkuu mimi naongea facts,sisukumwi na utimu wa DOMO wala KIBAKULI wala JOKA LAKIBISA KONDE!! Hao wakifanya jambo zuri nitasifia ,wakivurunda nitawachana!! Watu walio kwenye TIMU wao ni kusifu tu hata boss wao akiharibu.
 
Chibu mtunze Anko Shamte maana ndio furaha yenu ilipo
 
Inawezekana wewe ndiye ulikuwa maskini na baba yako tajiri ukaamua urudi kivulini baada ya kuungua jua sana.
Kwaiyo unataka kusemaje brother kuwa mondi yupo sawa? History ya mondi inafanana na yangu na nilikuwa sitaki kabisa issue za mzee kuzisikia lakini tangu nioee na niwe na mtoto ilibidi nimtafute baba na kuongea nae na sasa tupo imara sana na ushirikiano wakutosha!!! Brother kama hujaoa usijaribu kumsema vbaya mzee wako subiri siku uwe na familia utaelewa.... Mondi yule ni Baba yake na unajua mzazi hakosei hii sentesi wataelewa watu wachache ila huo ndo kweli mdogo amsaidie baba yake!!! Kwasababu pamoja na mzazi hakosei lakini bado baba kaomba msamaha kwa mwanaye kila siku tunasikia interview baba anaomba mwanaye amsaidie!!! Nikwambie kitu katika upuuzi siwezi fanya nikumuhudumia baba ambaye sio wangu ukitoa mkwe... Yani mondi anampa maisha yule fala anaacha kusaidia baba yake ule ni Ujinga wa kiwango cha juu!!! Ajifunze maana na yeye ana watoto na ameona changamoto za wanawake zilivyo wengine wamloge ilo ni somo kuwa Baba ni Baba tuu na Baba hawezi kukwambia mama yako alifanya ivi au vile sisi wanaume tuna koromeo kazi yake nikuhifazi hadi magumu! Sasa mondi anamuangisha sana mzee wake
 
Wewe huwajui wanaume punguani tu....ngoja utakutana nao kama bado haujaolewa...

Watakupa mimba ukiwasogelea hawakujui mwanaume wa hivi hana tofauti na mwanamke anayekuzalia mtoto wa nje.

[emoji23]aisee mkuu, leo umechafukwa
 
Mimi Kama mzazi naumizwa kuona watu wamejaaliwa Mali lakini hizo fedha haziwezi kusaidia familia yake.

Kama uwezi kusaidia familia yako unaondikaje kusaidia familia za wengine? Naomba niwakumbushe vijana; sote tuna dhambi na hakuna namna tutakwepa ilo.

Wanaume wengi wametelekeza watoto na hata familia zao. Napenda kuwajulisha hakuna mwanaume aliyekamilika. Tusitelekeze au kuwahukumu wazazi kwa makosa yao wakati wa mahusiano.

Unaitwa tajiri ila wa nyumbani kwako wanazalilika si poa.
Atakuja Saidia kununua sanda na kulisha watu msibani mapilau adi mabiriani mapiza
 
Back
Top Bottom