Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umri ule bado anapangiwa na Mama!Siyo yeye Diamond bali huo ni mkwara wa mama yake, yaani dogo kanunua ugomvi wa wanandoa. Pia unaweza kuta financials zote mama ndiye muamuzi, so kijana hapaswi kulaumiwa, baba anapaswa akapige magoti kwa mkewe ili yaishe asaidiwe.
Hata Kama mondi,alipitia matatizo gani,Kwanza ugomvi wa wazazi wewe mtoto haukuhusu,pia.imetokea mzee almasi kamaliza akaunti yake ya maisha katika sayari hi,nasibu ataenda au haendi mazikoni? Au akiwa anaumwa nasibu atatoa msaada au hatotoa?Mimi kwa kweli simlaumu Diamond
Hatujui aliyoyapitia wakati anahustle kuna kulala njaaa kuna kudaiwa kodi kuna kuumwa hamna hela ya matibabu
Mama yake labda alimpambania sana
Na pia kwa sababu hatujui ya zamani labda kipindi hiko baba ake alikua ana uwezo akawa ignore...
Ndio tusamehe 7×70 lakini sio kila mtu ana huo moyo....
Nmewaza tu hapa....
Ndugu nasibu si wakulaumiwa
muongo..huna loloteNinamfahamu jamaa tangu akiwa anasoma Uhuru Mchanganyiko. Baadae akawa kuuza mitumba, alikua anapenda sana kuvaa enzi zile za Mzee Ruksa Abdul na kaka yake walikua na access ya mitumba first grade.
Mama is so powerfulKwa umri ule bado anapangiwa na Mama!
Mkewe kivp? na wakati Dr. Shante kaoa kihalali?Siyo yeye Diamond bali huo ni mkwara wa mama yake, yaani dogo kanunua ugomvi wa wanandoa. Pia unaweza kuta financials zote mama ndiye muamuzi, so kijana hapaswi kulaumiwa, baba anapaswa akapige magoti kwa mkewe ili yaishe asaidiwe.
Wameza pamojaMkewe kivp? na wakati Dr. Shante kaoa kihalali?
Hilo hutanishawishi hata uongee maneno gani, Huyo mzee alipotumia ugomvi wake na mkewe kumuadhibu Nassibu alikuwa hajui kesho yanaweza kumgeuka?Hata Kama mondi,alipitia matatizo gani,Kwanza ugomvi wa wazazi wewe mtoto haukuhusu,pia.imetokea mzee almasi kamaliza akaunti yake ya maisha katika sayari hi,nasibu ataenda au haendi mazikoni? Au akiwa anaumwa nasibu atatoa msaada au hatotoa?
Inashangaza wengine humu ni wanaume na tumekaa na tunawajua vizuri wanawake,Bado tunamuunga mkono mondi kwa anachofanya.
Huna hoja Bali kiroja. Huyo mzee atafute hela aache kulia Lia. Hana Haki ya kulilia ya pesa ya Chibu.Wameza pamoja
Hakuna sababu yoyote ile chini ya jua ambayo inaweza kuhalalisha yeye kutomtunza baba yake,maana ni wazi sababu kazipata kwa mama yake.Mimi kwa kweli simlaumu Diamond
Hatujui aliyoyapitia wakati anahustle kuna kulala njaaa kuna kudaiwa kodi kuna kuumwa hamna hela ya matibabu
Mama yake labda alimpambania sana
Na pia kwa sababu hatujui ya zamani labda kipindi hiko baba ake alikua ana uwezo akawa ignore...
Ndio tusamehe 7×70 lakini sio kila mtu ana huo moyo....
Nmewaza tu hapa....
Ndugu nasibu si wakulaumiwa