Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Kama aliweza kumlea adi kufikia hapa msimhukumu mzee kuna mengi yapo kati hao watu wawili baba na mama wa domo....watu wasisahau pia mwanamke ana ulimi mbaya sana akiamua kupandikiza chuki kwa mtotoWabongo huwa mnajifanya mnajua sana.
Ya kwenye ndoa Waachie wahusika otherwise na wewe uwe mwanandoa.View attachment 1655863