comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Sidhani na wla CAG hajsema bayana hivyoTurudi hapa wadau. Huko jikoni tayari CAG kishafanya yake, kilichobakia ni kuweka mezani tu.
Biswalo Mganga, hachomoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani na wla CAG hajsema bayana hivyoTurudi hapa wadau. Huko jikoni tayari CAG kishafanya yake, kilichobakia ni kuweka mezani tu.
Biswalo Mganga, hachomoki
Ukisoma kifungu hicho cha 19(1) na (2) utagundua kwamba kuteuliwa kwake kuwa judge wa mahakama kunatokana na kukidhi sifa za kuwa DPP vile.Kwa tafsiri nyepesi,hana tatizo lolote ndo maana kateuliwa kuwa judge.Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.
View attachment 1782394
Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.
Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?
Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?
Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.
Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
tumuonee huruma baba wa watu, yeye alikuwa anatekeleza maagizo ya JIWE.Turudi hapa wadau. Huko jikoni tayari CAG kishafanya yake, kilichobakia ni kuweka mezani tu.
Biswalo Mganga, hachomoki
Hakuna sababu ya kumuonea huruma kwa vile tulikuwa tunamuonya sana humu JFtumuonee huruma baba wa watu, yeye alikuwa anatekeleza maagizo ya JIWE.