Na watapoteanaa kweli kweli, wengine watasahaulika ktk ndege ya mama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na watandikwe goal 5 warudi wakiwa wamepoteana
Jemedari ndio SI units yako?Jamaa hapa nilimvua maksi sana.
Nakumbuka tuliwapiga kaiser 3-0.
JEMEDARI akasema kwa KIONGOZI mkubwa wa KLABU kama yeye kuvaa JEZI Hiyo ni USHAMBA SANA.
Huyo jamaa yupo overated tu. Kiukweli hakuna kitu kichwani mle. Ni pale fedha zinapofanya maamuzi badala ya akiliJamaa hapa nilimvua maksi sana.
Nakumbuka tuliwapiga kaiser 3-0.
JEMEDARI akasema kwa KIONGOZI mkubwa wa KLABU kama yeye kuvaa JEZI Hiyo ni USHAMBA SANA.
Hii tabia usha acha?AMEEEN
Wewe beki tatu unajionaga smart kumbe mashudu tupuHuyo jamaa yupo overated tu. Kiukweli hakuna kitu kichwani mle. Ni pale fedha zinapofanya maamuzi badala ya akili
Ukiwa Yanga automatically unakuwa mpumbavuJamaa ni double std! Huwezi amini km ni Engineer