Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Kwa sababu speculation za kifo cha Dkt Magufuli zimeachwa kuzagaa bila uthibiti maana yake tunaamini tunachosikia sisi wananchi hasa kauli za viongozi waandamizi kushangilia kifo cha rais aliyekuwa madarakani
Nchi hii watu wanakufa kila siku mania kwa maelfu na tunasemaga kazi ya Mungu haina makosa kwanini iwe tofauti kwa Magu?
 
Wewe vipi....umetumwa na chawa wenzako nini?? Ushahidi wa nini wakati ni kweli JPM aliuwawa!
Ukweli unakuwaje ukweli bila ushahidi?..are you mad or something?.

Mimi sio chawa wala nini..ni kwamba tu nafikiria kwa kutumia akili and i'm afraid you're not.
 
Nachomlaumu Magufuli alituona CHADEMA Kama sio Raia wa nchi hii, akatuchukia. Ila sisi ndio tulipiga kelele na kutishia kufanya press conference ya kutangazwa kifo chake , ndipo usiku mama Samiah akakurupushwa kutangazwa kuondoa fedheha.
Kwahiyo unajisifu mmekuwa wazuri kwake kwa kutangaza kifu

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Nikuwekee na nani!? wenzako wote wanajua waulize wewe chawa usiejua.
Pona kwanza uchawa ndio uanze utabiri wako na ramli.
Ndiyo maana nasema huenda umeanza kuchanganyikiwa. Mimi na hicho Chama cha Mambuzi, tangu lini? Sijawahi kuwa chawa wa mtu, na sitakuwa. Nathamini sana utu wangu.
 
Ndiyo maana nasema huenda umeanza kuchanganyikiwa. Mimi na hicho Chama cha Mambuzi, tangu lini? Sijawahi kuwa chawa wa mtu, na sitakuwa. Nathamini sana utu wangu.
Sawa chawa wa mambuzi...,
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Hakika ni ajabu sana tena sana kusikia hawa akina Nape wakishangilia na kufanya sherehe kila kukicha wakifurahia kifo cha rais aliyekuwa madarakani. Mzee Makamba ndiyo kawaumbua wote kabisa.
 
MAKAMBA hakuyasema haya kwa BAHATI MBAYA wala ULIMI HAUKUTELEZA ALIYAPANGA NA wote hao WAKUBWA wanajua ndio Maana Alipewa JUKWAA
Ndio maana tunasema usidhihaki kifo cha mtu wala kufurahia,unaweza ukapewa platform ya kuzungumza,chonde chonde ukijua umelewa usiende kuongea,maana utaangukia kwenye makosa tu.ndicho tulichokiona kwa ndugu yetu yusufu makamba.
 
Yaani TumainiEl watanzania mpaka sasa hatuelewi nini maaana ya kitu kinachoitwa usalama wa taifa.

Haiwezekani rais auawe chini ya mikono yao halafu waliomuua waendelee na tambo mpaka kufikia hatua ya kujigamba kwa kauli bila kuogopa.

Ina maana wao ni walinzi wa maslahi gani? Kwa nini huu mjadala wa kumdhihaki Dkt Magufuli wasingeufunga ili watu wajadili maendeleo?

Inasikitisha sana kama kweli eti watu wazuri hawafi jamani basi Mungu yupo.
Watu wasiojulikana. Sijui waliishia wapi vile
 
Kwa huu ulimwengubwa kibepari yule mzee alijitoa mhanga kwa ajili ya watu wake. Wananchi tuliona wazi hata viongozi wetu wa upinzani wapo kwa maslahi ya mabeberu dhidi ya rasilimali za taifa letu. Yule mzee alikufa kama shujaa wa kizazi hiki japo ndoto zake zitikatishwa
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Ile kauli chafu, mbovu iliyojaa kinyaa ya mzee makamba ni ushahidi tosha kundi la mzee makamba linahusika kukatisha uhai wa magufuli.
 
Wameshasahau waliiua CCM 2015 mpaka alipoifufua Magufuli.
aifufue ccm mtu ambaye hapo kabla hajawahi hata kuwa mjumbe wa shina wa ccm? hivi mnafikiria lakini kabla ya kuandika au? magufuli hajaifufua ccm alichokifanya ni kuviua vyama vingine ili atawale peke yake mf unapiga marufuku mikutano lakini wewe unafanya?
unakataza bunge live lakini wewe unaonekana
unafungia magazeti lakini uanaruhusu musiba aanzishe vijigazeti vya kukusifu na kutukana wengine
yule alikuw araisi wa hovyo kuwahi kutokea
 
Back
Top Bottom