Kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi Marekani haitokuwa na haja ya kujibu mashambulizi

Mkuu hapa nimeambulia "Asad" pekee, huko kwingine ni kama nimepita tu
 
Kwahiyo, unataka kusemaje?

Kwamba Osama hakuuawa?

Obama alidanganya kuhusu kifo chake?
Namaanisha kama kifo chake hakikuonyeshwa kwenye vyombo vya habari kwa sababu walizoona zinafaa kwao what if na kwa hawa wa kwenye hizo base mbili imekuwa hivo! Kama iliwezekana na Osama inashindikanaje hapa, si kote mwenye access ya eneo la tukio na Mmarekani?
 
Hukuona footage ya Ile operation!
Nenda youtube!

Sent using Jamii Forums mobile app
okay wacha USA atuwekee footage ya ISIS leader na mtoto wa bin laden kwanza.

Afu swali halikubiwa mpaka sasa na Trump alisema Iran akishamvulua base za USA watapiga target 54 mbona mpaa hakuna hata target kapiga?

Hivi mnawamini sana USA lini walikuwa wa kweli.
 

Uhalibifu wa kambi,Askari wa marekani walifichwa kwenye handaki baada ya kupata taarifa ya kuwepo kwa mashambulizi
 

Iran lazima apigwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…