Kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi Marekani haitokuwa na haja ya kujibu mashambulizi

Kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi Marekani haitokuwa na haja ya kujibu mashambulizi

Anachofanya Iran ni kuwarifhisha wafuasi wake tu,
Km ambavyo Hezbollah huwa wanafanya wanaporusha kwa papara maroketi Israeli baada ya kichapo,
Lkn kwa kuwa kakili kuua askari 80 ambao tunajiuliza kwa nn aseme wamarekani tu wakati kambi hizo zinamchanganyiko wa wanajeshi wa nchi nyingine basi asilalamike akipigwa,
Hongera Iran kuwa na makombora yanayoua wamarekani tu hata wakiwa mchanganyiko na wachina yenyewe yanahisi wamarekani na kuwachambua kisha yanawaua na kuwaacha wasio wamarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia hiyo we pimbi
tapatalk_1578479768755.jpeg
tapatalk_1578481241566.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamekufa wamarekani wengi tu, lakini US na Israel watasema hakuna aliye kufa.
Huyu Iran anataka hiyo nchi yake kufanywa Kifusi kama Iraq. MuIran huwa anajitanya ana msimamo Sana na Nguvu Kwa kutishia kuishambulia Israel penye maslahi ya USA. Ngoja ashushiwe Nuclear Akili itamkaa Sawa.
Kuishambulia Base ni kuishambulia Nchi. Shauri yake. Kofi cha mtu mmoja Tu kinaweza pelekea maangamizi ya Nchi. Walianza kufa 50 Siku ya maziko.

.
 
Anachofanya Iran ni kuwarifhisha wafuasi wake tu,
Km ambavyo Hezbollah huwa wanafanya wanaporusha kwa papara maroketi Israeli baada ya kichapo,
Lkn kwa kuwa kakili kuua askari 80 ambao tunajiuliza kwa nn aseme wamarekani tu wakati kambi hizo zinamchanganyiko wa wanajeshi wa nchi nyingine basi asilalamike akipigwa,
Hongera Iran kuwa na makombora yanayoua wamarekani tu hata wakiwa mchanganyiko na wachina yenyewe yanahisi wamarekani na kuwachambua kisha yanawaua na kuwaacha wasio wamarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamesema wameuwa 80 wLio kuwa kwenye base hizo hawakusema ni wamarekani au taifa gani.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shirika la habari la Kuwait limekuwa hacked na kutoa taarifa ya kuwa vikosi vya Marekani vimetakiwa kuondoka nchini humo ndani ya siku 3.

Serikali ya Kuwait imeingilia kati na kukanusha kuhusu vikosi hivyo kuondoka nchini humo.
US Kashachokwa Mashariki Yakati Hatuombei Vita Ila Ikitokea Vimeibuka Atapigwa Mpaka Nahao Anaowaamini Kwamba Ni Swahiba Zake

Na Ataiona Mido Ist Kama Moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachofanya Iran ni kuwarifhisha wafuasi wake tu,
Km ambavyo Hezbollah huwa wanafanya wanaporusha kwa papara maroketi Israeli baada ya kichapo,
Lkn kwa kuwa kakili kuua askari 80 ambao tunajiuliza kwa nn aseme wamarekani tu wakati kambi hizo zinamchanganyiko wa wanajeshi wa nchi nyingine basi asilalamike akipigwa,
Hongera Iran kuwa na makombora yanayoua wamarekani tu hata wakiwa mchanganyiko na wachina yenyewe yanahisi wamarekani na kuwachambua kisha yanawaua na kuwaacha wasio wamarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo masuala yakujua alokufa ni mchina ama nani wame achiwa wenyewe hayo IRAN Hayamuhusu[emoji16][emoji23][emoji3][emoji2][emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Check huu mziki
Mara tu baada ya mashambulizi kutekelezwa katika kambi mbili za kijeshi zinazotumika na majeshi ya Marekani nchini Iraq, Rais wa Marekani, Donald Trump alikuwa alihutubie taifa la Marekani kwa mujibu wa taarifa rasmi lakini mara baada ya kikao maalumu na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya ulinzi na usalama katika ikulu ya Marekani, White House alisitisha mpango wa kutoa hotuba hiyo.

Lakini hakuishia hapo bali Trump ali-tweet akisema kuwa;


"Kila kitu kipo sawa, kambi zetu mbili za kijeshi zilizopo Iraq zimeshambuliwa na Iran, tunafanya tathmini kujua kama kuna madhara yaliyopatikana au uharibifu wowote wa mali, yote kwa yote tuna vifaa bora vya kivita kuliko nchi yoyote ile Duniani, kwa mbali! Nitatoa tamko kesho asubuhi"

Mpaka sasa taarifa kutoka Marekani zinadai kuwa hakuna taarifa za vifo kwa wanajeshi wao huku Iraq pia ikisema vivyo hivyo, lakini Iran imedai kuwa mashambulizi yao yamefanikiwa kuwaua wanajeshi wa Marekani. Muda upo na tuendelee kuzisubiri taarifa zaidi hususani baada ya hiyo tathmini.

Ila kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi sidhani kama Marekani atakuwa na haja ya kuyajibu kijeshi mashambulizi hayo kama Pentagon ilivyokuwa ikiweka wazi hapo awali na kama jambo hili ni kweli, basi wachambuzi mbalimbali wa masuala ya kimataifa wanayaita mashambulizi haya yanayotajwa kama "kisasi" yaliyofanywa na jeshi la Iran kama hatua ya kuokoa nyuso zao (save face) mbele ya wananchi na dunia kwa ujumla.

Tuendelee kusubiri!

Mods sidhani kama kuna haja ya kuunganisha huu uzi, ni vyema ukabaki hivi hivi kama ulivyo.

Pia pitia mabandiko haya hapo chini kwa taarifa zaidi:



Jr[emoji769]
 
Hata we jiulize mbona wako kimya ? sababu kipigo kikubwa walicho kipata haijawahi kutokea, yani wako wanafikiria wajibu uwongo upi ili Trump apate kusave uso wake. Hivi USA asijue mpaa mda huu hasara walio ipata kwani USA ni Tanzania.
watu wengi humu jf,wanafikiri marekani atakurupuka kupigana vita,wakati kambi zake zipo nchi jirani na iran,na iran ameonya yeyote aliyemhifadhi mmarekani,atakuwa target ya kwanza nchi yake kushambuliwa,waarabu hawatakubali miji yao mizuri yawe magofu,eti kisa urafiki na usa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Venezuela pale alogonga mwamba aisee. Sijui wamerakani hawana roho wale mabwana yaani wao watu wengine wafe mradi wao Taifa lao lisimame.

Anyways.

Kila mtu ashinde mechi zake!
Hata watz tungekuwa na spirit ya wamarekani basi taifa letu lingekuwa tishio duniani
 
Mara tu baada ya mashambulizi kutekelezwa katika kambi mbili za kijeshi zinazotumika na majeshi ya Marekani nchini Iraq, Rais wa Marekani, Donald Trump alikuwa alihutubie taifa la Marekani kwa mujibu wa taarifa rasmi lakini mara baada ya kikao maalumu na maafisa wa ngazi za juu wa masuala ya ulinzi na usalama katika ikulu ya Marekani, White House alisitisha mpango wa kutoa hotuba hiyo.

Lakini hakuishia hapo bali Trump ali-tweet akisema kuwa;


"Kila kitu kipo sawa, kambi zetu mbili za kijeshi zilizopo Iraq zimeshambuliwa na Iran, tunafanya tathmini kujua kama kuna madhara yaliyopatikana au uharibifu wowote wa mali, yote kwa yote tuna vifaa bora vya kivita kuliko nchi yoyote ile Duniani, kwa mbali! Nitatoa tamko kesho asubuhi"

Mpaka sasa taarifa kutoka Marekani zinadai kuwa hakuna taarifa za vifo kwa wanajeshi wao huku Iraq pia ikisema vivyo hivyo, lakini Iran imedai kuwa mashambulizi yao yamefanikiwa kuwaua wanajeshi wa Marekani. Muda upo na tuendelee kuzisubiri taarifa zaidi hususani baada ya hiyo tathmini.

Ila kama hakuna Wamarekani waliouawa katika mashambulizi ya makombora ya Iran, basi sidhani kama Marekani atakuwa na haja ya kuyajibu kijeshi mashambulizi hayo kama Pentagon ilivyokuwa ikiweka wazi hapo awali na kama jambo hili ni kweli, basi wachambuzi mbalimbali wa masuala ya kimataifa wanayaita mashambulizi haya yanayotajwa kama "kisasi" yaliyofanywa na jeshi la Iran kama hatua ya kuokoa nyuso zao (save face) mbele ya wananchi na dunia kwa ujumla.

Tuendelee kusubiri!

Mods sidhani kama kuna haja ya kuunganisha huu uzi, ni vyema ukabaki hivi hivi kama ulivyo.

Pia pitia mabandiko haya hapo chini kwa taarifa zaidi:

Habar hyo
Screenshot_20200108-175432.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom