Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

Uhuru wa Palestine sio wakupewa niwakupiganiwa
Unadhani Palestine wanataka uhuru wakupewa kama mlopewa nyie namuingereza pole kijana
Suala la mazayuni kutwangwa litakuepo tu eidha Palestine iwe huru ama isiwe huru mazayuni yatakua yanachapwa kila itakapopatikana nafasi
Pole sana kwa familia ya marehem mollel Allah awatie nguvu
Hamas endeleeni kupambania uhuru wenu tunawasapoti
 
Hawa hapa hao Hamas oct 7 mbona hawakuficha sura zao?
Mnawatetea hamas kwa masilahi ya nani?

Hawa ni hamas ama sio wao?
Mnajishushia heshima kupinga vitu vilivyo wazi. Mnataka wote tuonekane mazuzu
View attachment 2846413
Hayo ya sura mie nimesema kuhusiana na sura
Hamas waachiwe watetee haki yao wana kila haki
 
Kukaa kimya wakati mwingine ni busara baadhi ya waislamu hapa jf wamefurahia na kuunga mkono mauaji ya Joshua
Yawezekana hao walio muuwa Jo si Hamas lakini hayo mauaji yamedhihirisha ni waislamu wanamna gani tulio nao hapa.
 
Hatuna uhakika nani aliyemuua hadi sasa
 
Muuza unga (Ritz) hivi hujuwi kuwa Uislam ni ugaidi toka enzi za Mohammed mpaka sasa? Kama Mohammed alikuwa anaua at will kutaka watu kuwa Waislam kwa lazima, unashangaa nini hawa vibaka wa Hamas kuwa makatili? Soma historia ujuwe ukweli, kukariri kunalostisha sana watu haswa Waafrika wanaopapatikia dini za watu bila kujuwa ukweli.
 
Hivi unaijuwa historia ya Uislam toka enzi za Mohammed lakini, unashangaa nini sasa?
 
We Ritz ni kilaza sana.
Kuna muislam mwenzako ameitafsiri vizuri kwenye uzi mwingine.
Hakuna namna ya kuwasafisha hao magaidi ni chuma tu.
Mna bahati mpo Tanzania.
Ungekua kwetu Rwanda PK ashakula kichwa wajinga kama nyinyi.
Mnachekewa huku kwenu kwenye ujinga.
 
Unajitekenya na kucheka mwenyewe ukiwa na aibu.
Hamas wakiua wanamtaja nani?
Huyo wanaye-mtaja ndio imani yao!
Hajakataa Hamas kuua ila bado hapo wakati wanaua ao watembea kwa miguu walikuwa ni jamii ya wapi? Ikiwa ndani ya Israel ndiyo Hamas wadeal na huyu Joshua then waache Wayahudi wanadunda?
 
Wewe punguani shoga la kihaya soma hii….
Pope Francis has asked for forgiveness for the Catholic church’s role in the 1994 Rwandan genocide, in which 800,000 people were slaughtered in 100 days of violence. The “sins and failings of the church and its members” had “disfigured the face” of Catholicism, he said.
Speaking after meeting the Rwandan president, Paul Kagame, the Vatican acknowledged that some Catholic priests and nuns had “succumbed to hatred and violence” by participating in the genocide
 
Inaonekana unaupenda sana ushoga. Sishangai waarabu waliwaletea huo ustaarabu huko kwenu pwani.
Wasamehe wajomba zako waliokulawiti ukiwa mdogo. Wasamehe sana.
Stick kwenye mada wewe kilaza. Hayo ya Rwanda hutoyaweza. Kule sio taifa la wajingawajinga.

Kule waislamu wanajielewa na wakianza kuleta ujinga kama wa hapa kwenu kule hatuna mzaha ni chuma tu. Hatulei magaidi.
 

Kanisa Katoliki lawatambua mashoga​

Maaskofu wa Kanisa Katoliki duniani wamekutana katika makao makuu ya Kanisa hilo mjini Vatican na kuafikiana kuwatambua watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja.
 

Kanisa Katoliki lawatambua mashoga​

Maaskofu wa Kanisa Katoliki duniani wamekutana katika makao makuu ya Kanisa hilo mjini Vatican na kuafikiana kuwatambua watu wanaojihusisha na ndoa ya jinsia moja.
Mkuu mimi sio mkristo na wala siamini dini yoyote ile naamini Mungu yupo lakini siamini dini. Dini ni ulevi.
Nashangaa waninasabaisha na ukristo. Nilikua naitetea Palestine sio kwa mrengo wa dini. Lengo ni wawe taifa linalotambulika na kuishi kwa amani na wenzao wa Israel.
Lakini kundi la magaidi wa Hamas hawaitaki amani kwa chuki wanayojazana ya kua yahudi na wakristo ni wakuua ambayo inayotokana na upotofu wa mafundisho mnayotiana kwenye madrasa zenu.
Nimewachukia kwa kitendo cha kinyama walichomfanyia kijana mweusi wa kiafrika.
Wale mbwa ni takataka lazima kuua kizazi chao chote ili wasiendelee kufyatua magaidi wengine.
 
Watu wengi hawako tayari kujadili hili jambo. Linahitaji akili kubwa kidogo.
 
Uharo mtupu.
 
Hivi unaijuwa historia ya Uislam toka enzi za Mohammed lakini, unashangaa nini sasa?
Kuna maswali mengi kwenye video shida wakujibu kwa fasaha hakuna, wapita njia taifa lipi waliotekwa walikua taifa lipi wale waachwe, video imepatikanaje nani alirecord nani alieirusha na mengine mengi
 
Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Mkuu kwanza sio kweli
Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Sio kweli kwamba wanamuuliza kama ni mhusika wa alshabaab.

Huyo jamaa anayerekodi kuna sentensi anaitamka anasema "laa ba'ach ya shabaab"

Ilitaka kufanana na neno la kiarabu "laa ba'sa" lenye maana ya "hakuna ubaya.

Laiti ingelikuwa neno lile la kwenye clip ndio hili yaani "laa ba'sa" basi maana nzima ya senstenis ile ingekuwa ni "HAKUNA UBAYA ENYI VIJANA" sasa maana yake ingekuwa jamaa anawaambia wenzake kwamba sio mbaya munavyomfanya.

Ils neno hilo la kwenye clip linalosikika kama "laa ba'ach" maana yake haiko wazi na hata kwa kiarabu binafsi nimejaribu kutafuta sijapata labda ni lugha ama neno ambalo limetoholewa kihuko.

Lakini pia ulivyosikia neno shabaab unadhani kwamba anaulizwa kama ni mtu wa alshabaab ? Kwa kuwa umesikia neno shabaab,HAOANA SIO KWELI.

ingelikuwa hivyo tungesikia neno shaaaabbun ambalo ni umoja wa neno alshabaabu na neno hilo la shaaaabbu lina maana ya kijana,hivyo kwa kuwa alikuwa peke yake tulitarajia tusikie akiulizwa kwa umoja na sio kwa uwingi.

Lakini pia hakuna sehemu ambayo kuna senstensi ya kiarabu imesikika ikimaanisha kuulizwa kwa maana ya hakuna sehemu iliposikika mtu akiuliza kwamba "wewe ni kafika watu wa alshababu?"

Bali ulichokisikia mtoa mada ni hilo neno shabaab ndio ukaamua kuwa mkalimani,nadhani uje na ushahidi wa unayoyasema.

Weka sentesni yote ambayo unadai ilikuwa ikimuuliza huyo kijana kama ni mtu wa alshabaab.
Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kig
di wamwambie Joshua mmetushambulia?
Pia weka hiyo senstensi ambayo ikisema ama kumaanisha kuuliza " mmetushambulia"?

Liko wapi neno lenye maana ya "kutushambulia katika hiyo clip"?
 
Eti mla najisi..Pengine utakua unazungumzia nguruwe wewe kima.

Wanafiki wanajikuta Hawali nguruwe ilihali hapohapo unakuta anazibuliwa mtaro na wahuni.Rubbish!
Wewe msafi, mla najisi wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…