lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Acha uongo Mzee
Video zipo mitandaoni, nenda kutazame kama siku ya tukio ulikuwa hujazaliwa mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo Mzee
Iko ndio kinachokusumbua (udini) hadi kufikia kuanzisha thread zisizoelewekaUislam wako mimi unanihusu nini mambo ya dini peleka jukwaa la dini
Wanaukumbi.
#JoshuaMollel:
[emoji1428]Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Nina maswali:
1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?
2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?
3) [emoji1428]Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?
4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.
Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.
Jarida la Time of Israel liliandika hivi…
Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.
Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.
Hatuji kupata majibu..Wanaukumbi.
#JoshuaMollel:
👉🏽Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Nina maswali:
1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?
2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?
3) 👉🏽Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?
4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.
Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.
Jarida la Time of Israel liliandika hivi…
Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.
Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.
Kwahiyo yale Magaidi ya Hamasi walikuwa ni Waisraeli Wanmchom visu Mollel na kuita ala akbar?waizrael wanakujua kiarabu maana siku zote wapo nao pamoja
Hiyo ni akili yako ya chuki katibu mkuu wa UN ambaye ni mzungu na mkristo ,aliwaambia isael hili tatizo wamelitengeneza wenyewe kwani kwa miaka 70 wamekuwa wakikandamiza haki za wapalestina , freedom fighters sehemu yoyote yenye kukandamizwa haki lazima wawepo kubali ukataeHata malaya naye huonekana mwema kwa malaya wenzake.
Angalia video siku wanavamia Israel. Acha kuwa mzembe 😀Toka lini Hamas wanavaa kofia za Pama😅😅😅. Ila Israel kwa propaganda bhana
Mimi ni miongoni mwa waliyolaani sana kilichotokea kwenye video lakini nakubaliana na wewe kuwa hii kuna mswali mengi zaidi ya kujiuliza. Mambo hayako straight foward na hata video huenda imepostiwa kimkakati na Israel.Akili inahitajika watu wanaweka mihemko
Hata wewe gaidiTangu lini Myahudi akasema Allah wakibaru...
Hamas ni Magaidi
watakuwa INTERAHAMWE.Mna uhakika hao ni Hamas?
Kuitetea dini yako ni kazi sana.Unatumia nguvu nyingi sana.Pole kwa kuwa wa upande huoPia ukiangalia video kwa umakini
Kuna mmoja wao alishika baskeli ana kitu kama pochi maana yake inaonyesha ni mmiliki wa hi baiskeli. Zaidi anaonekana ni mlemavu wa mguu . Sasa tujiulize
Wavamizi Hamas wanahaja ya kushika baiskeli na mzigo wa mateka ?
Hamas wanawezaje kua na mlemavu vitani[emoji23]
Unaweza kuwa na hoja ila hoja hii ni dhaifu iondoe.Tangu lini Myahudi akasema Allah wakibaru...
Leo naona umefikiri vzuri mkuu,Kama Hamas ndio wale sasa
Inakuwaje watu waisrael wengine wanapita njiani kwa utulivu bila kujificha ?
Kuna kitu hakipo sawa tusiingie mkenge kutaja alah akbar kila mtu anaweza
Sawa na kutetea kukatika kwa umeme Tanganyika, ha ha ha ha!Kuitetea dini yako ni kazi sana.Unatumia nguvu nyingi sana.Pole kwa kuwa wa upande huo
Kuna suala pia la kuuliza, Jee Joshua alikwenda Israel au Pelestine kwa masomo ?Kuitetea dini yako ni kazi sana.Unatumia nguvu nyingi sana.Pole kwa kuwa wa upande huo
Wanakujibu au wanakuita gaidiKuna suala pia la kuuliza, Jee Joshua alikwenda Israel au Pelestine kwa masomo ?
Video inaonesha akiuliwa kwenye ardhi ya Palestine na siyo Israel, jee alifikaje hapo na baiskeli na alikuwa akifanya nini Palestine ? Au Hapo anapouliwa na Israel. Kama ni Israel mbona Hamas wamemchagua yeye mweusi wakati pembeni tunaona kuna watu wengine hawana hata wasiwasi wanatembea zao.
Wanaukumbi.
#JoshuaMollel:
👉🏽Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Nina maswali:
1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?
2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?
3) 👉🏽Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?
4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.
Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.
Jarida la Time of Israel liliandika hivi…
Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.
Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.