Hamas ndio code yao ipo hivi wale sio hamas waliomuua mollel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamas ndio code yao ipo hivi wale sio hamas waliomuua mollel.
Kufaaa tu zako huko ubadilike kuwa mwarabu. UnakeraNyerere alisema ujinga,malazi na umaskini ni adui wa taifa letu shikilia hapo kwenye ujinga.
NimekujibuUmejibu kwa bandiko la Mamba ambalo hajasema kama Maiti waliondoka nayo Hamas.
Vipo zile video zilizoonyesha pick up za hamas zinakimbia na maiti
IWale watu njiani ni kina nani hawana wasiwasi
Huna ujualo,mimi ni muislam hata wanaonijua humu watathibitisha,ila wewe na ni kilaza,pro hamas na pro israel wote waliomo humu ni vilaza na hawajui hata wanachoshabikiaNi Al-Shabaab siyo shababy najua ndiyo maana nimeleta huu uzi.
Uislam wako mimi unanihusu nini mambo ya dini peleka jukwaa la diniUna ujualo,mimi ni muislam hata wanaonijua humu watathibitisha,ila wewe na ni kilaza,pro hamas na pro israel wote waliomo humu ni vilaza na hawajui hata wanachoshabikia
Alshababu ni neno la kiarabu maana yake ni kijana (mnikosoe) Naona hilo neno hao mabingwa wamelitamka zaidi ya mara tatu.
Ili twende sawa. Tutafsirie maneno yote kwenye clip kwa kiswahili ili wote tutumie akili alizotupa Mungu kufikiri.
Wale watu njiani ni kina nani hawana wasiwasi
Acha mihemko Je na hao watembea kwa miguu pembeni nao walitekwa Hamas baada ya Joshua.Asante mkuu, hiyo ndio maana ya Al shabaab.
Inasikitisha kuona mtanzania anajaribu kutumia kila njia kutetea ugaidi.
Na hizi hadithi sijui mbona kuna watu walikuwa wanatembea wakati kijana wa kitanzania anauliwa ni ,a kijinga tu. Wengi wanajisahaulisha kwamba siku ya uvamizi magaidi Hamas walikuwa na raia wao wanaowaunga mkono na kuwashangilia. Na hao waliokuwa wanatembea ni ndugu zao hao magaidi, kama wangekuwa sio basi nao wangekuwa wanakimbia kulinda uhai wao.
Wewe msafi, mla najisi wewe.Hamas wametukosea sana watanzania na walimwengu wapenda amani. Hawawezi kusafishika kwa propaganda yoyote..
Hata malaya naye huonekana mwema kwa malaya wenzake.Hamas ni freedom fighters
Acha mihemko Je na hao watembea kwa miguu pembeni nao walitekwa Hamas baada ya Joshua.
Acha uongo MzeeHapa sasa mwenye mihemko ni wewe mkuu, umeshindwa hata kusoma nilichoandika kutokana na mihemko yako.
Siku hiyo ya tukio, magaidi Hamas walikuwa pamoja raia wanaowaunga mkono, walikuwa wakishangilia na wengine kupita huku na kule. Unajifanya hukuona video siku hiyo au?
waizrael wanakujua kiarabu maana siku zote wapo nao pamojaUnajitekenya na kucheka mwenyewe ukiwa na aibu.
Hamas wakiua wanamtaja nani?
Huyo wanaye-mtaja ndio imani yao!
kwahiyo hamas ni katili dhidi ya taifa la mashogaWewe nawe sisi tunajadili ukatiri wa Hamas wewe unatuletea mambo ya chadema hapa