Tulieni acheni mihemukoSAWA waziri wa Mambo ya nje tumekuelewa yule sio kijana wetu na hajauwawa na Hamas alijiua
Wewe unajua kuliko serekali
View attachment 2845995
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulieni acheni mihemukoSAWA waziri wa Mambo ya nje tumekuelewa yule sio kijana wetu na hajauwawa na Hamas alijiua
Wewe unajua kuliko serekali
View attachment 2845995
Dogo unajitia mjuaji unabishana na serekaliTulieni acheni mihemuko
Naomba kuulza maiti ya Joshua baada kupigwa risasi wakadoka nayo?Apa walivaa ushungi au sioView attachment 2845988
Wewe kweli zwazwa, sasa waziri wa mambo ya nje, yeye si ndio anapaswa kutoa Tamko... Waziri Januari Makamba, ambaye ndio muwakilishi wa serikali ughaibuni kathibitisha... Alafu unakuja wewe kuleta porojo na ngojera zako hapa... Soma alichoandika Maulid KitengeKwamba familia yake yenyewe haijathibitisha vodeo ile iweje wewe uamini kwamba wale ni hamas na huyo ni joshua ?
Familia hadi leo mchana imehojiwa haijathibitisha hiyo video yako
Na source yenyewe uliyotumia pia ni tatizo wote hadi hao magharibi wanajua kwamba israel ni waongo waongo na hawaaminiki leo unatuletea source ya jeshi lao kweli? Hujiulizi kwanini wanazima interney na kuwaua waamdishi wa habari makusudi ?
Juzi idf wameua watu kanisani makusudi na kujaribu kugicha hadi wazungu wenzao wamewalaani kwa kitendo kile
Tulia acha ukweli huwa haujifichi itajulikana lakini kwa kufuata taarifa za israel hapo umeingia cha kike hao wazungu wenzao hawawaamini tena itakuwa wewe wa mbagalaDogo unajitia majuaji unabishana na serekali
Haya nimekubali hajatekwa na hajauwawaView attachment 2845999
The man to answer your questionNaomba kuulza maiti ya Joshua baada kupigwa risasi wakadoka nayo?
Hao si watakuwa wapalestinaWale watu njiani ni kina nani hawana wasiwasi
Utachoka bure ndugu yangu! Hakuna justification kwa mauwaji ya Mtanzania mwenzetu. Allahu Akbar linatumika na magaidi wa kiislamu FULL STOPAlshababu ni neno la kiarabu maana yake ni kijana (mnikosoe) Naona hilo neno hao mabingwa wamelitamka zaidi ya mara tatu.
Ili twende sawa. Tutafsirie maneno yote kwenye clip kwa kiswahili ili wote tutumie akili alizotupa Mungu kufikiri.
Kwa maelezo yako tunaweza kuwa na theory kwamba wauaji ni “Settlers” kwa sababu ya mazingira ya Uuaji, wenzao wanapita wanaendelea na shughuli zao. Sio Magaidi Hamas kwa sababu walikuwa wana-Target waisraeli sio mtu mweusi.Utachoka bure ndugu yangu! Hakuna justification kwa mauwaji ya Mtanzania mwenzetu. Allahu Akbar linatumika na magaidi wa kiislamu FULL STOP
Unaishi dunia ya wapi wewe??? hivi unadhani hizo videos uwa kuna mtu kasimama hapo anarekodi??Hivi unadhani kuna watu wanataka kuungwa mkono na watu weusi ili iweje?? Sasa na kule Kibbutz na kwenye muziki kulikua kuna watu wamesimama na tekno zao wanarekodi??? ma nchi yenyewe maskini kila siku kuomba omba na kushi kwa mikopo.kichwa cha panzi hiki.kuna uwezekano mkubwa sana hili tukio limefanwa na Waizrael ili kufanya waungwe mkono na watu weusi
Haiingii akilini Hamas waue mtu huku wakifanya recording nzuri hivyo. kwa wenye akili na maarifa wanaweza kujua kuwa, hii kitu ilifanywa purposely. Waisrael wangapi wameuwawa na hutujaona wala kusikia recoding zozote za mauwaji? tena yaweza kuwa waizrael ndio wameuhifadhi mwili ...kwani ingekuwa hamas ungekuwa umezikwa siku nyingi.... Hamas waweke mwili wa mtu aliye kufa kwa faida gani???
.Kama hapo ni Israel kila mtanzania anatakiwa kujua kwamba alierekod ni nani mbona watu wengine wanapita hapo hawawagopi Hamas?
Nimekujibu au hujui kiingilishi?Jibu la swali langu sijaliona nimeuliza hivi Hamas baada ya kumpiga risasi Joshua maiti yake waliondoka nayo?
Vipo zile video zilizoonyesha pick up za hamas zinakimbia na maitiJibu la swali langu sijaliona nimeuliza hivi Hamas baada ya kumpiga risasi Joshua maiti yake waliondoka nayo?
Ndugu yangu walowezi wa kiyahudi hawawezi kumuuwa mfanyakazi wa mashamba yao huku wakitamka hayo maneno. Tatizo ni nini hutaki kuamini kama Hamas wanaweza kufanya huo unyama? Be honest to your selfKwa maelezo yako tunaweza kuwa na theory kwamba wauaji ni “Settlers” kwa sababu ya mazingira ya Uuaji, wenzao wanapita wanaendelea na shughuli zao. Sio Magaidi Hamas kwa sababu walikuwa wana-Target waisraeli sio mtu mweusi.
Wewe jamaa unajua maana ya shababy kwa kiarabu?Wanaukumbi.
#JoshuaMollel:
👉🏽Ukitazama video mmoja ya wanaoaminika kuwa wauaji anamuuliza Joshua kwa Lugha ya kiarabu kwamba yeye ni mmoja wa kundi la kigaidi la “Al-Shabaab”?
Nina maswali:
1) Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?
2) Kwenye video kwa Kiarabu wanasema “Mmetushambulia” yaani Hamas walioenda kufanya Tukio la kigaidi wamwambie Joshua mmetushambulia?
3) 👉🏽Hili swali zito zaidi; vipi wapita njia mtu na mwanamke wake ni waisraeli au wapalestina?
4) Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
5) Tangu lini Hamas wanaua na kujirekodi sura zao wazi wazi, mbona hawana Chochote kinachowakilisha Hamas? Mateka wote Video za waisraeli tulizoona ni wapiganaji wa Hamas.
Tuache kuwa Mbayuwayu, Mungu ametupa akili tuzitumie jamani, tutafute ukweli, video aliyeirekodi na kuiachia alitaka kupindisha ukweli.
Tutafute ukweli juu ya mauji ya kinyama ya Joshua. Tuishurutishe serikali kutafuta ukweli.
Jarida la Time of Israel liliandika hivi…
Joshua Mollel, 21, an agricultural student from Tanzania, was kidnapped by Hamas terrorists on October 7 from Kibbutz Nahal Oz. On December 13, his death was confirmed, and officials said his body was being held hostage in Gaza.
===============
Joshua Mollel, 21, mwanafunzi wa kilimo kutoka Tanzania, alitekwa nyara na magaidi wa Hamas mnamo Oktoba 7 kutoka Kibbutz Nahal Oz. Mnamo Desemba 13, kifo chake kilithibitishwa, na maafisa walisema mwili wake ulikuwa umewekwa mateka huko Gaza.
Kwa hiyo mwili wa Joshua bado upo Gaza.