Kama Hamas wanaamini katika Uislamu wanawezaje kumuua mtu wanayehisi ni Al-Shabaab (Muislamu)?

Sema wewe na wenzako wachache mliojaa chuki ambayo haitowasaidia chochote, pope kwa mara ya pili ndani ya mwezi mmoja amewaita idf terrorist kwa kusema wanatumia terrorist tacticts kwenye vita yao kwa ufupi israel imeshaanza kupoteza muelekeo na imeshapoteza huruma na support ya kimataifa iliyokuwa inaipata na hapo ndio ukuu wa mungu unaonekana
SOma hiyo kutoka voice of america
 

Attachments

  • Screenshot_20231219-083338_Chrome.jpg
    146.7 KB · Views: 2
Kama waliosoma nae wamethibitisha ndie joshua huyo wewe unapinga ya nn?
 
Hamas wameshasema ni kwa nini wanaua wageni
 
Hamas wameshasema ni kwa nini wanaua wageni
Unamezeshwa propqganda unameza tu toka lini habari za Hamas ukazipata kwenye vyombo vya magharibi niwekee kauli ya kiongozi wa Hamas hapa ukiniwekea najitoa JF.
 
Acha mihemko Je na hao watembea kwa miguu pembeni nao walitekwa Hamas baada ya Joshua.
We pimbi nini kwani hao wanaotembea kwa miguu hawawezi kua wapalestine wenzao na hamas, hoja na maswali yako ya kifala
 
Umeandika maelezo mengi billa
Kujibu maswali yangu matano.
Nakuuliza moja moja…

Kuna sababu gani nzito Hamas kupambana kumuua Joshua (mtu mweusi) asiyejua kuongea Kihibru wala Kiarabu, waache Waisrael Wapite bila bughudha?
Hao wanaopita kwa miguu ni waisrael??umejuaje au hiyo baiskeli ni ya Joshua?umejuaje?hapo tukio linapofanyika la mauaji ni ardhi ya Israel??umejuaje
 
Hao wanaopita kwa miguu ni waisrael??umejuaje au hiyo baiskeli ni ya Joshua?umejuaje?hapo tukio linapofanyika la mauaji ni ardhi ya Israel??umejuaje
Kasome ripotii ya Israel wamesema hapo ni Kibbutz Nahal Oz. israel
 
Ramba ndimu mzayuni wa jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…