Kama hamkubali mtoto wako Acha tu haitabadilisha kitu.

Kama hamkubali mtoto wako Acha tu haitabadilisha kitu.

KUNA WATU WATOTO WAO WANA BAJETI YA TANZANIA YA MWAKA. mtoto anazaliwa mara kitanda cha mtoto ,mara cha kumbembelezea ,mara cha kumbadilishia ,mara cha kumlishia budget m 5 huko vitu vyenyewe hata mwaka hatumii.mimi nitalala na mtoto wangu hata kama ni chini. mtoto akipandisha joto hyuoo kwa dokta nani sijui aga khan bill laki tano. si ununue kipima joto cha mtoto ? mavyakula ya makopo sasa , mtoto anaishi na mabox 24/7.pampas budget ya mwezi laki tatu kwa hela gani jamani hapa bongo.bora ununue kanga uchane na mifuko ya rambo .
 
Wanakwambia mikono inaharibika na maji huko kufua fua kila siku, mwezi watatu huu nafua asubuhi nafua jioni sioni hata mchubuko.
 
zipo chupi za mkojo fulani hivi wengi wanapenda kuziita pumpers za kufua nzuri sana mimi nilimnunulia zile ishirini mtoto alivaa diaper usiku tu alafu hata kufua nepi sio kazi kama kweli ulijiandaa kuwa mzazi kwanza hakuna raha kama kulea mwanao,mimi mpaka leo na ubaba wangu nafua nguo za watoto nikiwa na time kipindi cha uchanga wao nimefua sana nepi kiroho safi tu..Nacho zungumza hapa niukweli wala simajivuno au story za furahisha genge
Hongera mkuu
 
zipo chupi za mkojo fulani hivi wengi wanapenda kuziita pumpers za kufua nzuri sana mimi nilimnunulia zile ishirini mtoto alivaa diaper usiku tu alafu hata kufua nepi sio kazi kama kweli ulijiandaa kuwa mzazi kwanza hakuna raha kama kulea mwanao,mimi mpaka leo na ubaba wangu nafua nguo za watoto nikiwa na time kipindi cha uchanga wao nimefua sana nepi kiroho safi tu..Nacho zungumza hapa niukweli wala simajivuno au story za furahisha genge
hongera ila sitomfulisha mume wangu boxer au nguo za watoto labda niwe mgonjwa.nafasi ya baba itabaki kuwa ya baba
 
Waambie hao wamama wenzio,
mmekuwa na roho mbaya kwa watoto wenu kama nini vile;
na hivi mnazaa kwa kisu hata uchungu wa kuzaa huujui ndo basi tena;
mama yuko bize kuliko hata wale watafiti wa makenikia;
 
Hongera mkuu
tunapenda uzungu ambao hautupendi ukiwa wauliza tu wengi hivi mlipanga na mwenza kupata huyo mtoto utasikia story za kuungaunga nyingi,leo tunazaa na safari za kwenda kuwatibisha watoto uti nikila siku
 
Waambie hao wamama wenzio,
mmekuwa na roho mbaya kwa watoto wenu kama nini vile;
na hivi mnazaa kwa kisu hata uchungu wa kuzaa huujui ndo basi tena;
mama yuko bize kuliko hata wale watafiti wa makenikia;
Ha ha ha nimewaambia
 
KUNA WATU WATOTO WAO WANA BAJETI YA TANZANIA YA MWAKA. mtoto anazaliwa mara kitanda cha mtoto ,mara cha kumbembelezea ,mara cha kumbadilishia ,mara cha kumlishia budget m 5 huko vitu vyenyewe hata mwaka hatumii.mimi nitalala na mtoto wangu hata kama ni chini. mtoto akipandisha joto hyuoo kwa dokta nani sijui aga khan bill laki tano. si ununue kipima joto cha mtoto ? mavyakula ya makopo sasa , mtoto anaishi na mabox 24/7.pampas budget ya mwezi laki tatu kwa hela gani jamani hapa bongo.bora ununue kanga uchane na mifuko ya rambo .
Wengi wanawatafutia watoto matatizo wakidhani ndiyo upendo
 
Yani usasa unatuharibu, mtoto n mwendo wa nepi, akishakaa tu nepi zinahifadhiwa ni mwendo wa chupi ili mradi hakai kwenye sakafu unamuwekea kamkeka. .
 
Bora umesema,nna jirani yangu hapa mtoto kashachubuka makalio kisa pampers 24/7 .Mi naona kama upo nyumbani mtoto avae vikaptula na suruali tu.Tena ukiweza mtrain kukojoa kwenye pot akishakaa tu.Mi wanangu pampers nkinunua lile limfuko linakaa mpaka nasaau namvalisha tu nkiwa natoka au hali ya hewa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom