Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
shosti naona ni mimi tu sina mtoto humuMe mwanangu namvalisha tukiwa tuna safari tena ya mkoani miss chagga asante mama umesema kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shosti naona ni mimi tu sina mtoto humuMe mwanangu namvalisha tukiwa tuna safari tena ya mkoani miss chagga asante mama umesema kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shost hata wa mdogo ako ni mwanao ujueshosti naona ni mimi tu sina mtoto humu
aya hongeramimi sifulishwi dear ila kunamuda huwa najisikia kufanya hvyo,sio kufua tu hata kusafisha choo,kuosha vyombo usafi wa nyumba mara moja kwa mwezi miezi sio mbaya
ngoja nitege papuchi now[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shost hata wa mdogo ako ni mwanao ujue
Kusema ukweli haya ma disposable ni suspends nikiwa safarini tu lakini home ninapenda nappy za taulo zile za kufunga na pini. Tena ninakinga maji ya mvua kufulia hata jua lisipotoka ukiweka baraza ya nyuma upepo unakausha
Mficha uchi hazai [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]shosti naona ni mimi tu sina mtoto humu
Na wewe baba unayeona na kukaa kimya Huna maana zaidiWanawake hamna mana
Good kulea si kila mtu anaweza .Nilimvalisha mwanangu diaper mwaka mzima hakuwa na tatizo lolote wala hakuwahi kuungua. Baada ya mwaka nikarudi kazini, mtoto nampeleka kindergarten, hiyo wiki mtoto aliungua vibaya mno, niliona kazi chungu. Sio brand tu, diaper si ya kukaa masaa 24 jamani, ikijaa abadilishwe ila sasa tunapokuwa makazini mtoto yuko na dada ni changamoto! Nilimbeba mtoto wa jirani yangu mmoja, diaper imejaa mkojo utafikiri kabeba urojo, mtoto ataachaje kuungua? Pili, kina mama tununue good nappy cream kwa watoto inasaidia sana, mi nilikuwa nampaka mtoto na pia naipaka nappy kidogo and we are good!
Bado sjaoa miss!Na wewe baba unayeona na kukaa kimya Huna maana zaidi
Basi jitahidi uwe baba mzuriBado sjaoa miss!
Tarehe 17Samahani binti miss chagga ,wewe unaingia kwenye MP tarehe ngapi?
haahaTena kama ni wa kiume unamsababishia kibamia bure,
Ile kitu inabidi ipate hewa ya kutosha ili ishibe haswa.
kwa kweli wamama muwache.
Heee!kumbe mtu akiolewa na tar MP zinabadirikaga eeeh!!Tarehe 17
Oa utajuaHeee!kumbe mtu akiolewa na tar MP zinabadirikaga eeeh!!