miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
- Thread starter
- #61
Ha ha wa picha istagramMwanangu nilimfunga nepi kuanzia uchanga, alipoweza kukaa tu nikawa namvisha vikaptula, simfungi tena labda usiku,tena ni kwa siku za baridi tu..siku nyingine namtandikia mpira,
Nawashangaa sana wanaowafungafunga watoto, eti mtoto wa mwaka anashinda na midiaper au nepi, tuwaache wapumue.....kama hutaki mikojo ulizalia nini?