miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
- Thread starter
-
- #61
Ha ha wa picha istagramMwanangu nilimfunga nepi kuanzia uchanga, alipoweza kukaa tu nikawa namvisha vikaptula, simfungi tena labda usiku,tena ni kwa siku za baridi tu..siku nyingine namtandikia mpira,
Nawashangaa sana wanaowafungafunga watoto, eti mtoto wa mwaka anashinda na midiaper au nepi, tuwaache wapumue.....kama hutaki mikojo ulizalia nini?
Kabisa mkuuProduct nyingi zinazoletwa huku kwetu zinakuwa na viwango vya chini ndiooooooo maana madhara ni mengi. Bidhaa za viwango vya juu wengi hatuwezi bei. Nawashauri akina mama tutumie vya asili hasa vyakula tuepushe familia zetu na magonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipime zingine unakuta zinatokota kbs na zimetoa povu kwa sisi walevi unaweza hisi ni common ukachota ukanywa kbsKingine mtu analoweka Nguo za mtoto siku nzima bila hata kubadilisha maji yaani akija kufua hizo nguo maji yote yanatoa harufu jamaniiii sijui wamama wako je? Khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutongoza kwa uoga. Kama Unataka wa peke yako muumbe.Sorry miss chagga unamtoto au umeolewa.....??? kama bado naomba tutafutane kwamaana nimesoma nyuzi zako nyingi sana JF unaoneka uko vzr kuwa mke ila kama una mtu kwenye mahusiano usinitafute kwani uwa sitaki kivunja au kuharibu mahusiano ya watu.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Usipime zingine unakuta zinatokota kbs na zimetoa povu kwa sisi walevi unaweza hisi ni common ukachota ukanywa kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaHabari zenu
Leo nimekutana na jambo hospital ikanibidi tukumbushane wakuu.. mama alikuwa anambadili diaper mtoto wake me nipo karibu mtoto kanangozi kama ya mamba huku akianimbia kwa madaha yani mwanangu kila diaper inamkataa. Nikamwangalia nikapata hasira nikamwambia si lazima kuvaa hizo disposable diaper... nikaona na huku niwakumbushe tu...
Kwanza tukubaliane tunatesa watoto kisa ubussy wa kutafuta pesa na pia vipesa vyetu tukivipata ndiyo hatari zaidi...
Adhabu ambayo tayari na naona inatosha Kumwacha mtoto na dada wa kazI na kutuona wazazi weekend tu. Huku hatujui wanaishi vipi ila tunamwachia Mungu hili..
Kingine kumvalisha mtoto diaper hasa hizi za kutupa 24/7 mtoto kafungwasha mzigo huko hasa maeneo ya joto ni mateso sana kwa watoto embu imagine tukiwa mp tu kero yake .. lakini sijui tunahisi mtoto anakuwa tofauti? May be.
Haya madaiper yanaletea watoto UTI, michubuko vipele lakini tumekomaa tu na kubadilisha brand... tuache kufanyia watoto majaribio.
Kama mtoto yupo nyumbani mnunulie vikaptula vya pamba vya kutosha abadilishwe kila anapojisaidia na asubuhi kabla ya kwenda kazini fua anika ondoka akiwa analala avalishwe nepi au hiyo diaper sasa..
Kama ni lazima mtoto avae diaper basi usiwe mkali dada anapombadili mtoto mara kwa mara unakuta una mbajetia dada atumie tatu may be kwa siku na akitumia zaid unamind as if kavaa yeye. Mwisho wa siku tunaumiza mtoto kwa kuachwa na uchafu muda mrefu ili boss aridhishwe jamani embu tubadilike.
Wenzetu wanaangalia ubora kuliko wingi .. ila sisi tunaangalia wingi kuliko ubora .. nyingi zinazokuja kwetu hazipo katika ubora huo tunaofikiria...
SI LAZIMA KUMVALISHA MTOTO HIZO DISPOSABLE DIAPER HATA KAMA UNAINGIZA MILIONI ISHIRINI KWA SIKU KAMA HAI MKUBALI MWANAO ACHA MAVALISHE NEPI FUA HUTABADILIKA NA KUWA MASKINI.. .
Siku njema msalimie mwanao..
Shikamoo mama
Fursa2017
Hatari sana shekh.