Kama hamkubali mtoto wako Acha tu haitabadilisha kitu.

Ha ha wa picha istagram
 
Product nyingi zinazoletwa huku kwetu zinakuwa na viwango vya chini ndiooooooo maana madhara ni mengi. Bidhaa za viwango vya juu wengi hatuwezi bei. Nawashauri akina mama tutumie vya asili hasa vyakula tuepushe familia zetu na magonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema kweli ulimbukeni wanaona usipomvika mwanao pampers kuwa maskini kumbe kumtwika mtoto mizigo isiyo na ulazima
 
Kingine mtu analoweka Nguo za mtoto siku nzima bila hata kubadilisha maji yaani akija kufua hizo nguo maji yote yanatoa harufu jamaniiii sijui wamama wako je? Khaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera miss chaga hii mada inafunda hasaa
 
Mwanangu analala uchi, anakojoa mara mbili tu usiku nikishtuka namkojolesha, asubuhi akiamka tu namtenga anapoo hizo sijui Ni diapers anazijua tukiwa safari ya mbali tu hizi za hapahapa namvisha nepi. Wamama acheni uvivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Day ya kwanza kumvalisha chalii alitoka mapele ndani ya dk 10 nikamwambia mama watoto kuanzia leo ni mwendo wa nepi tu ukishindwa kuvua ntakua nafua mwenyewe hatujui hayo madude yanakotoka wanaweka kikali zip

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miss Chagga umeongea ukweli.
Hizi pampas sijui nyingi zinamadhara tu.
Waeza mkuta mtoto kajaa rashes kibao kunako but mama yupo tu na pampas

Nepi ni nzuri Zaidi na ukiwa home mama muache wazi mtoto mashine zipumue.

Thumb up miss chaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sorry miss chagga unamtoto au umeolewa.....??? kama bado naomba tutafutane kwamaana nimesoma nyuzi zako nyingi sana JF unaoneka uko vzr kuwa mke ila kama una mtu kwenye mahusiano usinitafute kwani uwa sitaki kivunja au kuharibu mahusiano ya watu.
Acha kutongoza kwa uoga. Kama Unataka wa peke yako muumbe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…