Kama hamtojali naomba Ufafanuzi wa haraka juu ya haya mambo Matatu tu ya Umuhimu

Kama hamtojali naomba Ufafanuzi wa haraka juu ya haya mambo Matatu tu ya Umuhimu

Account ikiwa domant then siku ukaamua iendelee kuitumia kinachofanyika wanakata monthly charges zote za miezi yote uliyo Dodge
Si sio afya Kwa kuirudia Tena kama ulidodge miaka 5
Let say monthly charges 2700×5×12
So utaona gharam ni kiasi gan

Kuhusu kulipwa mshahara bank A iliyopo Tanzania na ww inafanya kazi nchi ya ughaibuni nayo pia ni gharam kubwa kwako kui endesha hiyo account at the same time kui maintain

Chukulia mfano unaishi south Africa currency Yao Rand na unalipwa Kwa Rand then account Yako huk nyumbni ni Tsh

So gharama zitakiwa kubwa na utashidwa kuzimud

Then hakuna campun itakubali kulipa amount kwenda nchi nyingine coz utakuwa unakimbia Payee

Na isitoshe campuni nyingi zinalipa mishahara Kwa internet banking system so kwao ni changamoto
Ila Wana option ya kuifufua bila makato pia, kabla ya kuweka unakwenda bank na utaanza na process ya kuleta picha na barua toka serikali ya mtaa Kisha wanai-activate na unadumbukiza mshiko.

Ila kama una mshiko unadumbukiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ila genta una charisma kali unaongoza kwa mvuto hapa jf
Asante kwa hilo na ASHUKURIWE MNO na SANA MWENYEZI MUNGU, ila tegemea kuzushiwa na Wapumbavu na Washamba wengi hapa kuwa hii ID yako ni Mimi mwenyewe hivyo hapa najipakulia tu Minyama ( najisifu )
 
1. Je, ukiwa na Akaunti ya Benki fulani ila hukuitumia kwa miaka kati ya.

Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.
Mfano, wafanyakazi wa UN wengine wana account za Tanzania na wanalipwa from nchi za Ulaya.

So ukisafiri kwenda nje ya TZ na una kadi ya Visa unatoa pesa kupitia ATM au kufanya shopping una tap.

Mfano mwengine wanaofanya kazi meli za nje pia wanaingiziwa mishahara from nchi za nje
Hii naongelea kwa bank ya NBC, ila haina matawi nchi nyengine
 
Kumbe ndio unataka kulipwa zile Milioni 9 kutoka Uganda?
1. Je, ukiwa na Akaunti ya Benki fulani ila hukuitumia kwa miaka kati ya 5 hadi 10 ukitaka Kuendelea nayo inawezekana (japo najua itakuwa Imeshafungwa) Kuihuisha au Kuiamsha (Activate) au uachane na haya yote na Ufungue tu Akaunti mpya?

Tafadhali Wataalamu / Wabobezi wa Benki GENTAMYCINE naomba Msaada wenu wa Kiufafanuzi wa haraka na Nitawashukuruni.

2. Je, ukiwa na Akaunti kutoka Benki zetu za hapa Tanzania (Local kama NBC na CRDB) unaweza kuzitumia kwa Kuingiziwa Pesa zako (Mshahara) ukiwa unafanya Kazi nje ya Tanzania na ukazitoa ukiwa huko huko?

3. Naomba kujua Nchi (hasa za hapa Afrika Mashariki) ambazo Benki hizi Mbili za NBC na CRDB zina Matawi yake huko na unaweza bado ukaendelea Kuzitumia hata ukiwa huko huko Kimajukumu.

Natanguliza Shukran kwa Ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom